Kuna Mzungu Mmoja anaishi kota za SUA Sokoine Campus Kilimo Street, anawaingilia wanaume kinyume na maumbile na jamii SUA inajua miaka mingi

Hiyo misemo ya zamani asante kwa kutukumbushia ila zamani ni tofauti na sasa ndio maana sasa hivi kuna maendeleo ya technologia (udigitali) Mtoto wa mwenzio sasa hivi si mtoto wako tena maana ni mkubwa mwenzio tena bila wewe mkuju an kama ni mkubwa anajieleza kwa vitendo ili ujue kama ni mkubwa mwenzio kwaiyo ni nguvu kwa nadharia iyo uliyoisema kujithibitisha kwa sasa ndio maana we just mind our business na wao wa do the same akili kumkichwa kwa sasa
Duh 🙌
 
Wajibu wangu ni kupiga mbiu mamlaka timizeni wajibu wa kuilinda jamii.

Mkisikia ushoga upo basi jamii underground wanayaona na kuyafunika kuna Tetesi zisizo na mashaka za miaka mingi, bodaboda na bajaji na wanajamii ya SUA wanajua hilo na wanashuhudia ugomvi wa mashoga ama wanaume kwenye makazi ya huyo mzungu ambae inasemekana yupo kwenye mradi wa panya na wanaomfahamu wanasema yupo miaka mingi na anayofanya yanaonekana peupe na hajifichi.

Jamii na mamlaka za SUA zipo na zinaona, yawezekana huyo mzungu ana mchango mkubwa kwenye huo mradi wa panya kiasi kwamba mamlaka na jamii ya SUA wameamua kufunika kombe mwanaharamu apite.

Ninapoandika habari hii nimepata taarifa kutoka vyanzo vya watu ambao wako kwenye kada mbalimbali pale SUA campus kuu Morogoro, Bodaboda, waalimu, baadhi ya wakazi wa mtaa wa kilimo, dereva bajaji, wakazi wa kididimo.

Pia taarifa kutoka mdogo wangu aliyesoma Agronomy SUA na kuhitimu mwaka jana ambae alikuwa amepanga ghetto kididimo.

Kama mimi Wadiz mkazi wa jijini Dodoma naweza kufahamu mambo kama haya toka jamii hio iweje wana SUA wanashindwa kupaza sauti kukemea vitendo vya kishoga vya huyo mzungu kwa miaka yote ambayo ameishi nchini akiwa hapo SUA?

Ni hatari sana kuwa na taasisi na wanajamii wanaokumbatia uozo wa kimaadili kama huo.

Mamlaka husika fanyeni utafiti wenu mtajua yote. Wajibu wangu kama whistle blower nimetimiza.

Wadiz
Huwa anawabaka au wanataka wenyewe? Au amekupunja malipo?
 
Wajibu wangu ni kupiga mbiu mamlaka timizeni wajibu wa kuilinda jamii.

Mkisikia ushoga upo basi jamii underground wanayaona na kuyafunika kuna Tetesi zisizo na mashaka za miaka mingi, bodaboda na bajaji na wanajamii ya SUA wanajua hilo na wanashuhudia ugomvi wa mashoga ama wanaume kwenye makazi ya huyo mzungu ambae inasemekana yupo kwenye mradi wa panya na wanaomfahamu wanasema yupo miaka mingi na anayofanya yanaonekana peupe na hajifichi.

Jamii na mamlaka za SUA zipo na zinaona, yawezekana huyo mzungu ana mchango mkubwa kwenye huo mradi wa panya kiasi kwamba mamlaka na jamii ya SUA wameamua kufunika kombe mwanaharamu apite.

Ninapoandika habari hii nimepata taarifa kutoka vyanzo vya watu ambao wako kwenye kada mbalimbali pale SUA campus kuu Morogoro, Bodaboda, waalimu, baadhi ya wakazi wa mtaa wa kilimo, dereva bajaji, wakazi wa kididimo.

Pia taarifa kutoka mdogo wangu aliyesoma Agronomy SUA na kuhitimu mwaka jana ambae alikuwa amepanga ghetto kididimo.

Kama mimi Wadiz mkazi wa jijini Dodoma naweza kufahamu mambo kama haya toka jamii hio iweje wana SUA wanashindwa kupaza sauti kukemea vitendo vya kishoga vya huyo mzungu kwa miaka yote ambayo ameishi nchini akiwa hapo SUA?

Ni hatari sana kuwa na taasisi na wanajamii wanaokumbatia uozo wa kimaadili kama huo.

Mamlaka husika fanyeni utafiti wenu mtajua yote. Wajibu wangu kama whistle blower nimetimiza.

Wadiz
Mashoga wapo wengi kitaa, na mabasha kibwena,
Hapo story inashupaliwa kwa sababu kuna mzungu! Dar, zenj,hayo Mambo kila kona
 
Vipi wahusika wakiulizwa halafu wakakataa?
Unaposikia kwamba sasa hivi serikali imeamua kuleta nchini huduma ya kuongeza makalio ili kuwapunguzia wananchi gharama na muda wa kwenda nje ya nchi, Je kama una akili timamu kuweza kusoma between the lines, hapo unapata ujumbe gani?
Mkuu kuna vitu huwa vinafikisha Sana Anywei...Acha tuendelee kuishi
 
Siamini nilicho kiona kwnye uzi huu.

Hivi ni kweli watu wengi wako radhi hata ndugu zao (kiume) wafanyiwe hivyo ?? Hivi Mbona inaonesha watu wengi wanakubali huo ukatili ??
 
Kama wizara ya afya(serikali ) iliruhusu Hilo

Wengine mnawaonea bure ,kwa sauti ya mwakyembe na mwanahabari mmoja wakike


Lakini ,kama wangekuwa watoto tungepiga kelele lakini wasomi Tena SUA ,kwakweli hapana
 
anawaingizia watoto wadogo? wanafunzi wa s/msingi au sekondari?

Kuna special grps ambazi endapo zitafanyiwa vitu kama hivyo bas tutachukua hatua
 
Huyu mzungu wa apopo kweli yupo hapo SUA,anakaa kilimo street nyuma ya Suasa club,na hizi tuhuma zilikuwepo kuwa anawaf**a wanaume.Huyu mzungu alinifanya mpaka nikauza gari yangu bila kupenda.
Mwaka 2014 nilianza kusoma masters SUA na nikapanga chumba mtaa wa kididimo,mwaka huo huo nilikuwa nimenunua gari yangu Grande mark2 gx 110 ya silver,nilikuwa naipenda sana ile gari. Baada ya kuanzia masomo nikakuta tena mzungu wa apopo anayo gari kama yangu,inafanana Kila kitu kasoro number plate tu,na zenyewe zilikuwa zinakaribia kufanana.

Sasa kilichokufanya mpaka niuze Ile gari ni kwasababu mzungu alikuwa anawapa Ile gari yake wale vijana aliokuwa anawafi*a wanatanua nayo mtaani. So changamoto ilikuwa ni baadhi ya watu hawezi kutofautisha zile gari,ikawa inaonekana kama ni gari moja tu.
 
Back
Top Bottom