Michelle
JF-Expert Member
- Nov 16, 2010
- 7,621
- 3,514
Kiranga wewe hujawahi mchukia mtu?
Habari yako dearest? Mi namchukia mtu kwa kuwa nampenda ye hanipendi....lol
Kiranga wewe hujawahi mchukia mtu?
nooo ujue mimi jf niliijua siku nyingi sema sikuwa nimejisajili sasa huyo kuna kipindi nilikuwa natafuta job nikaona tangazo nikatuma cv cause alikuwa ametoa email
nilipofika akaniambia eti anataka mapenzi ndo anipe hiyo job kazi yenyewe ya laki tano mpuuuzi kweli.halafu huku anajifanya mstaarabu.
The way kid sis alivoandika... It is as if ni kind of hate ile ya "thin line btn Love and hate" lol
Itabidi leo nimuulize vizuri tukifika home....
Sante NN. Mi penda wewe kwa kuliona hilo.Hii sredi imekaa ki Zinduna Zinduna na ki mpoleee mpoleeee lol
Usikute hakuna hata huyo mtu anayechukiwa...
Habari yako dearest? Mi namchukia mtu kwa kuwa nampenda ye hanipendi....lol
Hah hh ... hiyo ni mihimu siumeshasikia vijana mjini ... they keep on harassing the lady ...she helplessly hate and hate mwishowe ... mysteriously ... she gives in ...I am sure that isnt what is happening ... Zinafikiaga kuwa ndoa ... tena zile za kitajiri ... zinadumu siku 7 the most ... dunia nzima ... inashanga... kumbe it was hate related love ... lol!
That is very dangerous! lol... Huyo mtu analitambua hilo Dear?
Ndo nimemtumia ujumbe dear...lol...ameupata haswaa!!
Lovely wifi... I love you.Sweet Sweet Lady....
Lovely wifi... I love you.
Hapana Roulette,alikubali,si ndo unaona ugomvi sasa? mi namshangaa mambo ya faragha kaja yamwaga hazarani,lol!Kibaya zaidi na kazi anaendelea nayo,sasa sijui nimtimue? ushauri please.Basi sahau tu. Kumkatalia ni jibu tosha, umempa ujumbe kua wewe na yeye sio sawa, hamuwezi kuchanganya (I hope you said no). Sasa ukimchukia bado unamrudisha katika maisha yako, una mpa nafasi ya kuusumbua moyo wako. Just ignore him, ukimuona acknoweledge the feeling kwa sekunde alafu endelea na browsing yako.
Nna hasira zako, uncheki nikukabidhi kabla giza halijazidi..Hapana Roulette,alikubali,si ndo unaona ugomvi sasa? mi namshangaa mambo ya faragha kaja yamwaga hazarani,lol!Kibaya zaidi na kazi anaendelea nayo,sasa sijui nimtimue? ushauri please.
Kiranga wewe hujawahi mchukia mtu?
Lol... Thanks a lot my only wifi,...wasiopatana na mawifi zao kaki wanayo, sie akuuu kwa raha zetu!Oh' jamani raha jamani.... I wonder why wengine hawapatani na wifi zao.
Love you more sweet wifi of mine.
Zamani sana kabla bwana Yesu hajaniokoa