Wajumbe wenzangu ni vipi, mimi swalamaa kabisa.
Nikasema tupeane chakula cha ubongo kidogo si unajua tena mambo mengi muda mchache. Du leo nikasema hebu tushauriane kidogo mana haya mambo yapo bana yaweza kukukuta hata wewe, so tusiyachukulie pouwa. Katika pilikapilika za maisha, ilitokea bana dada mmoja akatokea kunipenda balaa.
Dada mwenyewe mrembo, mrefu, sura inaita, alaf ana macho. Du nikawa kama namwelewa, sema du ni mke wa mtu bana. Mme wake tulishawahi fanya naye kazi kipindi fulani japo si kwa muda sana, akawa amepata transfer.
Mke wake yeye alibaki around coz naye alikuwa mwajiriwa, ila kitengo tofauti. Mdau bana akaelekea, so akawa anakuja mara moja moja kumpa hi wife. Katika kipindi ambacho walikuwa pamoja (eneo moja la kazi), walikuwa wanatofautiana kutokana na sababu kwamba huyo mjumbe alikuwa harsh, nikawa natumia jitihada mbalimbali kuwapatanisha, so wife yake akawa ameongeza ukaribu na na mimi na kuniona wa maana sana kwenye maisha yake. Kumbe by then nilivyokuwa najiinvolve kwenye mambo yao, hasa usuhishi, ndivyo upendo ukazidi (ukahamia kwangu). Ilifika mahali akawa ananishirikisha mambo mengi ya familia yao, na sometimes nilikuwa naingia hata some cost, ulimradi tu ninusuru hali.
Mh dada kumbe ana lake moyoni, anataka anisanue, ila du nafsi yasita (mda huo mimi sina hili wala lile). Jamaa yule bana alikuwa anakunywa, so even dos terrible situations walizokuwa wanapitia, sometimes was influenced by Kamnyweso. Duh, tuachane na hayo bana. 🕙 One moment nikiwa nimechill zangu, sina hili wala lile, mara pap ikadondoka text toka kwa shem "shem hi." Nikarepply "hi," uko pouwaa nikamjibu niko pow. Akanitext tena Love u, nikasita kujibu, but after sometime nikarepply, nilidhani kakosea number.
Kama wiki hivyo ikapita akanitumia tena text hi shem nikarepply. Akanambia upo wapi, nikamwambia home, akanambia naomba naomba niwe mgeni wako leo? Nikamwambia karibu. (Nilidhani anatania). Du baada ya kama nusu saa, mwamba huyu hapa mhhh kjipodoa balaa, ananukia mh mapigo ya moyo yakaanza kubishana. Mh shem akakimbilia kunihug mmmmmm "shem nimekumic" "huonekani" "ukishaingia humu ndani hutokagi" nikamwambia mimi mbona nipo sana.
Nikamkaribisha akakaa "Shem unatumia kinywaji gani?" "Mh shem na wewe usihangaike" "Hamna sema tu" Mh naomba sprite nikamtania, mmmm acha bana shem za "wagumu hutumii." "Shem bana situmiagi najaribugi tu mara moja moja kwenye matukio" (akatulia kidogo then akanitjia) "naomba the pride of Africa." Nikazama nikafanya muamala nikarudi. Piga vutu, lete stori, akaanza kunifungukia mwanzoni mwisho huwezi amini. Alikuwa anaongea kwa hisia, huwezi amini. Nikawa siamini, mmmmmh shem ananichora au?
Mmmh, we spent almost 2 hours dere, akinipa stori za maisha, yake na badiliko la mumewe, kwani anasema almost a month hapokei simu yake na anamuda hajaja kumpa hi, and one time alipocal alipokea mwanamama na kukata papo hapo. Nikatumia muda mwingi kumfariji na kumuencourage kwamba everything is ok. Mh kadiri muda ulivyokwenda, shem akazoea kunitembelea, ikawa ni kama kawaida. Katika mwendelezo wa safari, tukajikuta one moment "ikatokea dharura" na akaniapreciate sana, then akarudi tena na tena.
Some few moments akaomba ruhusa ya wiki moja (sababu za kifamilia), huyo akaelekea kumjulia hali mme wake. Alipofika, anasema mme alishtuka na naye kama alikuwa anahisi hakuridhia ugeni huo (means hakuwa comfortable). Anasema kulikuwa na kila dalili kwamba kulikuwa na jambo lilikuwa linaendelea upande wa pili, coz anasema pia kuna kanga alikuta ila akaambiwa anaitumia kama taulo, japo ilimpa wasiwasi. Akaspend there almost a week. Wakayajenga somehow wakatulizana.
Akarudi mitaa akanipa stori za safari, tukafurahi. Safari ikaonekana kuwa yenye matunda, kwani baada ya miezi 9, alipatikana mgeni (akanijuza "mmefanana sana"). (Sikuwa nimefanikiwa kumuona dogo) Alienda kula uzazi kwa mume wake (katika kipindi cha ujauzito, alikuwa ananiambia Nahisi ni wewe). Mh, nimekuja kumwona dogo, ni damu yangu, kabisa yaani du, huwezi uliza baby by. Anasema jamaa hajastuka, naye kafurah mbaya.
Ila nampataje waungwana, nisijesababisha tafran, yupo kwa boma ya mtu.
Nikasema tupeane chakula cha ubongo kidogo si unajua tena mambo mengi muda mchache. Du leo nikasema hebu tushauriane kidogo mana haya mambo yapo bana yaweza kukukuta hata wewe, so tusiyachukulie pouwa. Katika pilikapilika za maisha, ilitokea bana dada mmoja akatokea kunipenda balaa.
Dada mwenyewe mrembo, mrefu, sura inaita, alaf ana macho. Du nikawa kama namwelewa, sema du ni mke wa mtu bana. Mme wake tulishawahi fanya naye kazi kipindi fulani japo si kwa muda sana, akawa amepata transfer.
Mke wake yeye alibaki around coz naye alikuwa mwajiriwa, ila kitengo tofauti. Mdau bana akaelekea, so akawa anakuja mara moja moja kumpa hi wife. Katika kipindi ambacho walikuwa pamoja (eneo moja la kazi), walikuwa wanatofautiana kutokana na sababu kwamba huyo mjumbe alikuwa harsh, nikawa natumia jitihada mbalimbali kuwapatanisha, so wife yake akawa ameongeza ukaribu na na mimi na kuniona wa maana sana kwenye maisha yake. Kumbe by then nilivyokuwa najiinvolve kwenye mambo yao, hasa usuhishi, ndivyo upendo ukazidi (ukahamia kwangu). Ilifika mahali akawa ananishirikisha mambo mengi ya familia yao, na sometimes nilikuwa naingia hata some cost, ulimradi tu ninusuru hali.
Mh dada kumbe ana lake moyoni, anataka anisanue, ila du nafsi yasita (mda huo mimi sina hili wala lile). Jamaa yule bana alikuwa anakunywa, so even dos terrible situations walizokuwa wanapitia, sometimes was influenced by Kamnyweso. Duh, tuachane na hayo bana. 🕙 One moment nikiwa nimechill zangu, sina hili wala lile, mara pap ikadondoka text toka kwa shem "shem hi." Nikarepply "hi," uko pouwaa nikamjibu niko pow. Akanitext tena Love u, nikasita kujibu, but after sometime nikarepply, nilidhani kakosea number.
Kama wiki hivyo ikapita akanitumia tena text hi shem nikarepply. Akanambia upo wapi, nikamwambia home, akanambia naomba naomba niwe mgeni wako leo? Nikamwambia karibu. (Nilidhani anatania). Du baada ya kama nusu saa, mwamba huyu hapa mhhh kjipodoa balaa, ananukia mh mapigo ya moyo yakaanza kubishana. Mh shem akakimbilia kunihug mmmmmm "shem nimekumic" "huonekani" "ukishaingia humu ndani hutokagi" nikamwambia mimi mbona nipo sana.
Nikamkaribisha akakaa "Shem unatumia kinywaji gani?" "Mh shem na wewe usihangaike" "Hamna sema tu" Mh naomba sprite nikamtania, mmmm acha bana shem za "wagumu hutumii." "Shem bana situmiagi najaribugi tu mara moja moja kwenye matukio" (akatulia kidogo then akanitjia) "naomba the pride of Africa." Nikazama nikafanya muamala nikarudi. Piga vutu, lete stori, akaanza kunifungukia mwanzoni mwisho huwezi amini. Alikuwa anaongea kwa hisia, huwezi amini. Nikawa siamini, mmmmmh shem ananichora au?
Mmmh, we spent almost 2 hours dere, akinipa stori za maisha, yake na badiliko la mumewe, kwani anasema almost a month hapokei simu yake na anamuda hajaja kumpa hi, and one time alipocal alipokea mwanamama na kukata papo hapo. Nikatumia muda mwingi kumfariji na kumuencourage kwamba everything is ok. Mh kadiri muda ulivyokwenda, shem akazoea kunitembelea, ikawa ni kama kawaida. Katika mwendelezo wa safari, tukajikuta one moment "ikatokea dharura" na akaniapreciate sana, then akarudi tena na tena.
Some few moments akaomba ruhusa ya wiki moja (sababu za kifamilia), huyo akaelekea kumjulia hali mme wake. Alipofika, anasema mme alishtuka na naye kama alikuwa anahisi hakuridhia ugeni huo (means hakuwa comfortable). Anasema kulikuwa na kila dalili kwamba kulikuwa na jambo lilikuwa linaendelea upande wa pili, coz anasema pia kuna kanga alikuta ila akaambiwa anaitumia kama taulo, japo ilimpa wasiwasi. Akaspend there almost a week. Wakayajenga somehow wakatulizana.
Akarudi mitaa akanipa stori za safari, tukafurahi. Safari ikaonekana kuwa yenye matunda, kwani baada ya miezi 9, alipatikana mgeni (akanijuza "mmefanana sana"). (Sikuwa nimefanikiwa kumuona dogo) Alienda kula uzazi kwa mume wake (katika kipindi cha ujauzito, alikuwa ananiambia Nahisi ni wewe). Mh, nimekuja kumwona dogo, ni damu yangu, kabisa yaani du, huwezi uliza baby by. Anasema jamaa hajastuka, naye kafurah mbaya.
Ila nampataje waungwana, nisijesababisha tafran, yupo kwa boma ya mtu.