GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 57,114
- 110,495
- Thread starter
- #21
Acha Kumtetea Adui Mchokozi tafadhali.Nadhani huyu alikuwa anamsema Mpaji Kwa comment yake
Acha Kumtetea Adui Mchokozi tafadhali.Nadhani huyu alikuwa anamsema Mpaji Kwa comment yake
Uko sahihi kwa 100%Tanzania ni nchi ya ahadi...
Nchi yenye asali na maziwa...
Asante Mungu
Sawa mkuuAcha Kumtetea Adui Mchokozi tafadhali.
Endelea kuwashwa via vya uzazi unachokitafuta utakipata zero brain ww, kichaa chako hicho naona kinakupeleka vbya wenzako waliopo 40's wapo wanaset mambo vzr we upo bize kuentertain wanaokupiga paipuNa Wewe pia umeanza 'Kunukudiwa' huko 'Unyabengani 'Kwako kama Mpaji Mungu? Pole sana.
Mungu katukabidhi CCM tu tuangaike nayoNi kweli,hata kipindi cha jpm nchi jilani zoote zilikumbwa na nzige,lkn kwa Tanzania zilikomea holoholo na kurudi kenya,lkn kulikuwa na kimbunga ilikuwa kilikumbe eneo loote la mafia,kilwa na dar,lkn mungu alipisha mbali.
Hivyo ni kweli,Tanzania ni nchi ya mungu,inalindwa na mungu,
Kaka nisamehe mimi sina ugomvi na wewe buloangu!Endelea tu na Wewe kunitafuta na utanipata tu sawa? Nakuangalia tu ili ujae vyema katika Frame na nifyatuke mazima nawe.
Unajua hata miimi nimekuwa nawaza kwa njni hii tabiri ya funga mwaka ya Hali ya Hewa hakujatokea hata robo ya dalili? Na sasa Dar hakukaliki kwa joto jema linalounguza nyayo badala ya utosi.Miaka kadhaa Kijiografia Tanzania ilitakiwa ikumbwe na Tetemeko Kubwa na la Hatari la Ardhi ila Watanzania walifunga na Kumuomba Kweli Mwenyezi Mungu na nchi ikawa Salama. ( Asante Mungu )
Kwa Taarifa za Kijiografia GENTAMYCINE nilizonazo na nilizokuwa ni kwamba hadi tarehe hii ya Leo ( 14 Oktoba, 2023 ) Mikoa Kumi na Tatu ( 13 ) ya Tanzania ( ukiwemo niliopo wa Dar es Salaam ) tulitakiwa tuwe tunaelea katika Mito na Bahari huku Vibanda vyetu / Nyumba zetu zikiwa zimebomoka na Kusombwa na Maji kutokana na Mafuriko makubwa na ya Hatari kama ambavyo tulitaarifiwa na Kutahadharishwa ila imekuwa ni tofauti. ( Asante Mungu )
Na kwa mujibu wa Nujumu ( Kuchungulia Kwangu Kiutamaduni kwa Babu ) nimehakikishiwa kuwa hakutakuwa tena na Mvua Kubwa na ya Hatari ya El Nino na kama itanyesha itakuwa ni ile ya Kawaida tu na haitokuwa na Madhara yoyote.
Tuendeleni Kupiga Kazi kwa Amani.
Naam hilo ndo janga la karne tunajuta naloMungu katukabidhi CCM tu tuangaike nayo