Kuna mpasuko mkubwa ndani ya CCM. Je, sisi wapinzani tutanufaika 2025?

Kamanda Asiyechoka

JF-Expert Member
Sep 13, 2020
3,166
4,581
Tayari mpaka sasa kuna WanaCCM wanaojinasibu kupinga ufisadi na uonevu, na hawa wameshalianzisha na pia kuna kundi ambalo linajinasibu limeshika hatamu na sasa ndio wakati wao wa kujitanua kwa kila namna na tayari kuna harafu kuwa wameanza kupiga madili

Kwa ujumla kuna dalili kubwa kuwa Ccm imegawanyika na upinzani tukitulia 2025 tutapata nguvu kubwa. Je huu mpasuko utatubeba 2025?
 
Tayari mpaka sasa kuna wanaCcm wanaojinasibu kupinga ufisadi na uonevu, na hawa wameshalianzisha na pia kuna kundi ambalo linajinasibu limeshika hatamu na sasa ndio wakati wao wa kujitanua kwa kila namna na tayari kuna harafu kuwa wameanza kupiga madil...
Kila siku mnasema kuna mpasuko ccm,mkiingia uchaguzini mnaangukia pua.

Badala ya kujenga vyama imara mnategemea mpasuko wa ccm uwaingize ikulu
 
Tayari mpaka sasa kuna wanaCcm wanaojinasibu kupinga ufisadi na uonevu, na hawa wameshalianzisha na pia kuna kundi ambalo linajinasibu limeshika hatamu na sasa ndio wakati wao wa kujitanua kwa kila namna na tayari kuna harafu kuwa wameanza kupiga madili...
Bila hata chadema nao kubadilika na kuondoa migogoro pia ndani ya chama,hamtakua na nguvu kushinda Kama ile ya 2010 na 2015 mtabaki kulaumu tu na hivi Kila uchaguzi mnasusia mtasusia Hadi huo uchaguzi mkuu wa 2025 Mana hakuna dalili za kubalishwa kwa hizo tume mnazotaka Zibadilishwe na hapo pia ccm watachukulia advantage pia ya kuwashinda



#Endeleeni kususia uchaguzi
 
Tayari mpaka sasa kuna wanaCcm wanaojinasibu kupinga ufisadi na uonevu, na hawa wameshalianzisha na pia kuna kundi ambalo linajinasibu limeshika hatamu na sasa ndio wakati wao wa kujitanua kwa kila namna na tayari kuna harafu kuwa wameanza kupiga madili

Kwa ujumla kuna dalili kubwa kuwa Ccm imegawanyika na upinzani tukitulia 2025 tutapata nguvu kubwa. Je huu mpasuko utatubeba 2025?
Wewe mataga ya upinzani hayakuhusu,au umenyimwa bk7?
 
Tayari mpaka sasa kuna wanaCcm wanaojinasibu kupinga ufisadi na uonevu, na hawa wameshalianzisha na pia kuna kundi ambalo linajinasibu limeshika hatamu na sasa ndio wakati wao wa kujitanua kwa kila namna na tayari kuna harafu kuwa wameanza kupiga madili

Kwa ujumla kuna dalili kubwa kuwa Ccm imegawanyika na upinzani tukitulia 2025 tutapata nguvu kubwa. Je huu mpasuko utatubeba 2025?
Mkuu vyama vyote Duniani wanachama wao kamwe hawawezi kukuosa makundi. Hivyo ndani ya CCM kuna makundi na siyo mpasuko. Tangia CCM kikiwa chama pekee bado kulikuwa na makundi. Kulikuwa na kundi lilikuwa likimpinga Nyerere kwa kufuata mfumo wa ujamaa.

1. Mkapa alikuwa akipingwa na kundi la akina Kikwete na Lowasa

2. Kikwete alikuwa akipingwa na kundi la akina Lowasa (baada ya kumtengua U pm)

3. Magufuli alikuwa akipingwa na kundi la akina Kikwete na wana CCM ambao wao wanajiona ndiyo waliyompeleka Magufuri Ikulu. Hawa ndiyo waliyokuwa wamiliki wa KIGOGO14

4. Mama anapigwa na wafuasi wa mfumo wa Magufuri. Hawa wakiwa ni viongozi ndani ya chama na Serikali sambamba na wakeleketwa wa JPM ambao hasa ni wabodaboda, wamachinfa na mama ntilie

Kwa muktadha huu mama hana sababu ya kulaumu kupingwa na wanachama wenzie. Hiyo ni kawaida na atumie vikao vya chama kuyajadili na siyo kulalamika majukwaani.

Hata vyama vya upinzani siyo kweli kwamba wote wana kauli moja. Hiyo ndiyo iliyopelekea Zitto kabwe akatekwa CDM. Zaidi wanayamaliza ndani ya vikao vya chama vyao
 
Back
Top Bottom