Kuna michepuko ni takataka kabisa

Kuna michepuko ni takataka kabisa

Aaah wapi, Huyu mwanamke tamthilia za kifilipino zinamdanganya Sana.

Anajikuta wa muhimu Sana kuliko MKE wangu, tena anatengeneza mazngira kunipima kati ya wife na yeye ntaegemea upande upi.

Asichojua ni kwamba,
Wife Ni muhimu Sana kuliko yeye.

Yeye ukiondoa TU icho kidudu chake, Hana Cha ziada kuoffer kwenye maisha yangu.
kama nihivyo kwanini unashindwa kumuacha?
 
Mke wa deep akipata magonjwa ya zinaa,deep anamuita malaya na kesi juu kwa wazazi kwa kumuambikiza gono aiseeeeee kuna wanawake wana maisha ya mateso kisa ndoa na vinjemba visivyotulia
 
Principle yangu ya kwanza kwa mchepuko ni huwa lazima awe njema upstairs kumshinda mke wangu...

Kama reasoning yake ni ndogo kumshinda mke wangu huwa hatuchukui round...

Sasa huyo mchepuko wako siyo tu ni hauna akili, bali hauna hata akili za kuzaliwa...

Au tuseme labda umeshakuona wewe ndo hamnazo...

Halafu kwanza unakuwaje na mchepuko unaouhudumia kiasi hiko, i mean kuhudumia ni sawa ila mpaka pesa ya chakula? Na usipotuma anamaindi? Kwa hiyo usingekuwepo wewe angelala njaa?
For me naona jamaa ndio akili hana na huyo manzi anatumia udhaifu wake kama fimbo ya kumchampia
 
Sasa udhaifu wangu uko wapi?

Ulitaka nimtelekeze wife nikalale na Mchepuko ndo uamini Niko strong?

Ebu acha mentality za ivo mkuu
Wewe ni dhaifu kwasababu unaendeshwa na ngono badala ya akili huyo demu anakupanda akili kwa kumzoesha mambo ya kijinga kama hayo, mchepuko hapaswi kumuhudumia kwa kiwango hicho hata kidogo hizo gharama unazotumia kwa huyo demu utakuja kujutia baadae ukishapigwa na kitu kwa hapa ni ngumu kunielewa ila ni suala tu la muda utanielewa
 
Vituko vyake sjamzuia asifanye,
Ila angalau awe na lepe la aibu na utu kidg, mwenzie anaumwa hata hajali.

Hajui ustawi wa mwenzie ndo unafanya ata yeye astawi uko aliko?
Mtu kakosa aibu miaka yote hiyo aje kuwa na aibu leo? Huyo ndio alivyo hatokaa abadilike na hili unalijua ila unajitoa ufahamu. Shauri zako maisha ni yako.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom