moneytalk
JF-Expert Member
- Jan 23, 2017
- 8,040
- 16,870
mbona ule uzi wetu siuoni tena
mbona ule uzi wetu siuoni tena
huyu mwanaume kanishinda tabia,hana maamuzi wala sauti kama mwanaumeUleule wa kale shem
Mnaendeleaje nyie huko?huyu mwanaume kanishinda tabia,hana maamuzi wala sauti kama mwanaume
anaendeshwa kama robotUnataka sifa gani wakati kwake hujiwezi?![]()
Umefutwa kipenzi,, nikiweka upya nitakutag wakwanzambona ule uzi wetu siuoni tena
JF katika ubora wake😆Acha gubu mwanaume
Wew ni wakike ni vile tu haujui hulka yetu ndio maana umesema hivyo.Ila wanaume matatizo mengine mnajitakiaga wenyewe. Unapata mchepuko ana kucontrol kuliko hata mke wako. Kwanini msitulie na wake zenu
Hulka yenu ikoje?Wew ni wakike ni vile tu haujui hulka yetu ndio maana umesema hivyo.
Hakika, ni ushamba tu. Mwanamke ambaye tuliambiwa tuishi nae kwa akili hawezi sumbua mtu kiasi hiki, yaani miaka nenda rudi upo unalalamika tu, hapa ni pipa na mfuniko.hamna mtu hapa ni ushambaa tuu.
Mwanamke mmoja hawezi tosheleza hulka ya mwanaume alie kamilika kivipHulka yenu ikoje?
Kwahiyo hulka yenu inapenda kutesekaWew ni wakike ni vile tu haujui hulka yetu ndio maana umesema hivyo.
Kila kitu kina gharama ya kulipia , yani ni kila kitu ,hata ukitulia na mwanamke mmoja utalipa tu gharama fulani.Kwahiyo hulka yenu inapenda kuteseka
Tujue kutofautisha kuwajibika na matatizo ya kujitakia. Umeoa kula, kuvaa, kulala kwa familia yako ni wajibu wako, watoto kwenda shule ni wajibu wako. Lakini kuchunwa na michepuko ni matatizo ya kujitakiaKila kitu kina gharama ya kulipia , yani ni kila kitu ,hata ukitulia na mwanamke mmoja utalipa tu gharama fulani.
Mna kazi sana. PoleniMwanamke mmoja hawezi tosheleza hulka ya mwanaume alie kamilika kivip
Mwanaume anapenda
Miguu mizuri
Lips denda
Macho ya genye
Dimples
Rangi nyeupe
Rangi nyeusi
Mrefu
Mfupi
Kibonge
Mwembamba na nk
Ivo vyote ni mwanaume mmoja anavipenda vyote kwa pamoja
Sio rahis Mwanamke mmoja awe navyo vyote
Ila mwanaume anampenda Mwanamke mmoja tu anaemjua na wanaoendana vizuri na alie mchagua kuwa mama wa watoto wake, bila kujalisha ni pisi kali au sio kali, ila njee lazima atimize tamaa yake isiyoisha labda nguvu zipungue tu.