DeepPond
JF-Expert Member
- Nov 18, 2017
- 43,311
- 109,416
- Thread starter
- #41
Kikawaida uwa namhudumia kila Siku iendayo kwa Mungu, ikitokea Niko mbali namwambia atumie pesa zake, nkirud ntamrejeshea. Na Huwa nafanya hivyo mara kwa Mara,na yeye analitambua hilo.Sasa wewe unakubalije kulipa hapo mkuu? Unajua nakuheshim
This time,
hii situation imenikuta kipind namuuguza wife. Na wife wangu akiumwa kdg TU akili yangu inavurugika kabisa, maana she's my everything kuanzia malezi ya familia Hadi ustawi wa uchumi wangu kiujumla.
Kinachonikera kwake sio pesa alizoomba,
Ni jins gan alivyoshindwa kuthamini Wala kujali suala la mke wangu kuumwa na taarifa nmempa.
Hata salamu Wala kuuliza anaendeleaje hamna, anadai TU pesa zake.
Huu Ni ukosefu wa utu uliopitiliza




... Wife si kashapona lakini au bado tuanze kumwombea