Prolific26
JF-Expert Member
- Jun 14, 2022
- 500
- 937
Mzee si uoee kuliko kuzini zini, au ni ujiko kwako....
hahahahhaa umenikumbusha mbali sana na nimecheka kwa nguvu ofisini, watu wanachukulia maisha rahisi sanaUkipika vinakuwa kama vya kuchezea watoto kwenye makopo tulikuwa tunapika enzi zetu.
Tunaita madange😂
Watu soon wataomba namba ya Majay wampate mganga wakeHa ha ha....nyie vichaa kwelikweli![]()
Kwahiyo kumbe bado unajiona uko na akili 🙆🙆🙆🙆🙆Yaani niache MKE wangu hoi hospital kitandani, niende kwa Mchepuko, NNA ntakua na AKILI TIMAMU KWELI?
Analijua hilo ndo mana kwake wewe ni bussines partner na sio mwenza,coz anajua huwezi kumuoa..so we mpe tu hela zake,mambo ya mke wako yeye hayamuhusu kabisa,YUKO SAHIHI KABISA.Aaah wapi, Huyu mwanamke tamthilia za kifilipino zinamdanganya Sana.
Anajikuta wa muhimu Sana kuliko MKE wangu, tena anatengeneza mazngira kunipima kati ya wife na yeye ntaegemea upande upi.
Asichojua ni kwamba,
Wife Ni muhimu Sana kuliko yeye.
Yeye ukiondoa TU icho kidudu chake, Hana Cha ziada kuoffer kwenye maisha yangu.
Yawezekana ni mchepuko wako wa muda mrefu ndo maana ameanza kujipima nguvu na mama mjengo wakoAaah wapi, Huyu mwanamke tamthilia za kifilipino zinamdanganya Sana.
Anajikuta wa muhimu Sana kuliko MKE wangu, tena anatengeneza mazngira kunipima kati ya wife na yeye ntaegemea upande upi.
Asichojua ni kwamba,
Wife Ni muhimu Sana kuliko yeye.
Yeye ukiondoa TU icho kidudu chake, Hana Cha ziada kuoffer kwenye maisha yangu.