Kuna michepuko ni takataka kabisa

Kuna michepuko ni takataka kabisa

Jamaa ashapigwa kitu kizito hafurukuti
Aaah wapi, Huyu mwanamke tamthilia za kifilipino zinamdanganya Sana.

Anajikuta wa muhimu Sana kuliko MKE wangu, tena anatengeneza mazngira kunipima kati ya wife na yeye ntaegemea upande upi.

Asichojua ni kwamba,
Wife Ni muhimu Sana kuliko yeye.

Yeye ukiondoa TU icho kidudu chake, Hana Cha ziada kuoffer kwenye maisha yangu.
 
Kei tamu kwani alipewa mwanamke mjinga kama huyo peke yake?
Kuna aina ya wanaume huwa K tamu za moto huwa zinawapelekesha mno. Wakikutana na hiyo kitu inapumua, na imevimba wanakuwa dhaifu. Sanasana wanaume ambao kwenye kukua kwao hawakupigaga puli vya kutosha hasahasa puli ya mlenda wa moto au mafuta ya nazi ya moto.

Unakuta mtu anakuwa nusu chizi, anahonga nyumba kabisa kisa K tamu ya Moto 😂😂😂.

Yaani hakuna cha uchawi wala limbwata ni utamu wa K ya moto unamzuzua 😂😂😂
 
Kuna aina ya wanaume huwa K tamu za moto huwa zinawapelekesha mno. Wakikutana na hiyo kitu inapumua, na imevimba wanakuwa dhaifu. Sanasana wanaume ambao kwenye kukua kwao hawakupigaga puli ya mlenda wa moto au mafuta ya nazi ya moto.

Unakuta mtu anakuwa nusu chizi, anahonga nyumba kabisa kisa K tamu ya Moto .

Yaani hakuna cha uchawi wala limbwata ni utamu wa K ya moto unamzuzua
Ha ha ha ...jf Ina Mambohiyo pull ya mlenda ndo ikoje mkuu
 
Kuna aina ya wanaume huwa K tamu za moto huwa zinawapelekesha mno. Wakikutana na hiyo kitu inapumua, na imevimba wanakuwa dhaifu. Sanasana wanaume ambao kwenye kukua kwao hawakupigaga puli ya mlenda wa moto au mafuta ya nazi ya moto.

Unakuta mtu anakuwa nusu chizi, anahonga nyumba kabisa kisa K tamu ya Moto 😂😂😂.

Yaani hakuna cha uchawi wala limbwata ni utamu wa K ya moto unamzuzua 😂😂😂
Mkuu, kudate mwanamke mjinga kiwango cha Majay kwanza ni hatari kwa UHAI na mali zako.

Siku Majay amepata upenyo wa kushirikiana na waovu atamuua huyu DeepPond fasta achukue mali.

Huyu mwanamke ni mpenda pesa kupitiliza, na kibaya zaidi ana akili ya kuvukia barabara na kwenda chooni.
 
Principle yangu ya kwanza kwa mchepuko ni huwa lazima awe njema upstairs kumshinda mke wangu...

Kama reasoning yake ni ndogo kumshinda mke wangu huwa hatuchukui round...

Sasa huyo mchepuko wako siyo tu ni hauna akili, bali hauna hata akili za kuzaliwa...

Au tuseme labda umeshakuona wewe ndo hamnazo...

Halafu kwanza unakuwaje na mchepuko unaouhudumia kiasi hiko, i mean kuhudumia ni sawa ila mpaka pesa ya chakula? Na usipotuma anamaindi? Kwa hiyo usingekuwepo wewe angelala njaa?
 
Ha ha ha ...jf Ina Mambohiyo pull ya mlenda ndo ikoje mkuu
Kama haujui puli ya mlenda wa moto au puli ya mafuta ya nazi ya moto ndio maana unazuzuka na K ya moto 😂😂😂😂😂😂😂😂, unandika story ndeeefu juu ya mchepuko 😂

Siku ukipiga hiyo puli, jinsi inavyoteleza na joto lake. Hautajutaji mchepuko tena 😂😂😂
 
Mkuu, kudate mwanamke mjinga kiwango cha Majay kwanza ni hatari kwa UHAI na mali zako.

Siku Majay amepata upenyo wa kushirikiana na waovu atamuua huyu DeepPond fasta achukue mali.

Huyu mwanamke ni mpenda pesa kupitiliza, na kibaya zaidi ana akili ya kuvukia barabara na kwenda chooni.
Hapo kuna mawili
1. Uchawi
2. K tamu ya moto


Au labda jamaa, analeta chai tu humu JF kuchangamsha jukwaa. 😂😂


Ila jamaa ni mtu mdhaifu sana. Mchepuko ukizingua si unaupiga chini tu. Huyu jamaa ni dhaifu mno 😂
 
Yaani Pesa Ni zangu, nazitafuta kwa jasho langu, eti jitu from nowhere linifokee kunilazimisha nizitumie pesa zangu ili kutimiza mahitaji Yake. Aisee uyo labda sio mimi, Vinginevyo nmerogwa.

Afu Kuna watu Sijui wakoje,
Yaani wanapenda sana kujipa umuhimu mkubwa wasiokua nao kwenye maisha ya watu wengine.

Unashangaa jitu kukutanulia tu mapaja siku mbili tatu, tayari lishajipa hati miliki ya muda wako na uchumi wako,utadhani Lina hisa yoyote kwenye harakati zako.

Hizi ni Takataka kabisa,
Tena za kutupa dustbin haraka SanaView attachment 2838659View attachment 2838661View attachment 2838663View attachment 2838664
Kwa vile umeshindwa kukidhibiti hicho kimkongojo chako wacha likuburuze! Mnashindwa kutulia na wake zenu kisa nini?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom