Kuna michepuko ni takataka kabisa

Kuna michepuko ni takataka kabisa

Ni hivi,
Ijumaa baada ya kufunga duka nlkua nna ratiba ya kwenda kwake, ghafla nikapewa taarifa MKE wangu kakimbizwa ghafla hospitali, analalamika Tumbo linaamuuma sana.

Kanipigia kuniuliza "vipi mbona ufiki"
Nikamtaarifu sitoweza kuja kwako, niko njiani naelekea hospitali, mke wangu kakimbizwa ghafla. Nashangaa ananitumia sms za kipumbavu, nikaona asije niharibia Siku, nikapata ajali barabarani, sikuzijibu sms zake.


Baadae kanipigia Akisema "Sasa Ni pesa ya matumizi vipi, hamna chochote cha kupika uku? "

Nikamwambia "nenda Duka la mangi Apo jirani, akakupe vitu unavyohitaji vya kupika, nkija ntamlipa pesa yake". Baadae kanirudishia mrejesho kua kamkuta mkewe, kasema hakopeshi.

Nikamwambia, Basi tumia balance yako, nunulia vitu vyote vya kupika, utanipa hesabu Kisha ntaifidia nikija uko kwako. Kasema sawa.

Tangu juzi sijakwenda kwake wala kumpigia Simu, nmetuliza akili namuuguza wife kwanza.

Leo ananiuliza hivi namchukuliaje,
Hata Salam kuulizia tu mgojwa niliemtaarifu anaumwa kapelekwa hospitali ghafla anaendeleaje, hamna.

Anachoulizia direct Ni pesa zake za matumizi nilizoahidi ntafidia baada ya kuzitumia kugharamia chakula chake mwenyewe.

HUYU MWANAMKE HANA UTU, UBINADAMU WALA USTAARABU KABISA
We nae akili zako sijui zikoje, sasa vitu vya kawaida hivyo unaposti hadi huku, nyuzi zako na huyo mchepuko wako ni za ajabu sana, inaonekana wote wewe na mchepuko wako akili zenu ni mbovu tu.
 
DeepPond hivi Bado unaendeleaga tu na hii isidingo yako!? Haiishagi!?

Hivi nikuulize...!? Wewe ni mwanaume kweli!?

Ama mvaa suruali mmoja wa kuitwa mwanaume!?
Mi mwenyewe namshangaaga, eti nayeye ni university graduate, wenzake wanaleta nyuzi za maana yeye kila mara anaandika mambo ya ovyo ambayo hata darasa la saba hawezi kuandika.
 
Ni hivi,
Ijumaa baada ya kufunga duka nlkua nna ratiba ya kwenda kwake, ghafla nikapewa taarifa MKE wangu kakimbizwa ghafla hospitali, analalamika Tumbo linaamuuma sana.

Kanipigia kuniuliza "vipi mbona ufiki"
Nikamtaarifu sitoweza kuja kwako, niko njiani naelekea hospitali, mke wangu kakimbizwa ghafla. Nashangaa ananitumia sms za kipumbavu, nikaona asije niharibia Siku, nikapata ajali barabarani, sikuzijibu sms zake.


Baadae kanipigia Akisema "Sasa Ni pesa ya matumizi vipi, hamna chochote cha kupika uku? "

Nikamwambia "nenda Duka la mangi Apo jirani, akakupe vitu unavyohitaji vya kupika, nkija ntamlipa pesa yake". Baadae kanirudishia mrejesho kua kamkuta mkewe, kasema hakopeshi.

Nikamwambia, Basi tumia balance yako, nunulia vitu vyote vya kupika, utanipa hesabu Kisha ntaifidia nikija uko kwako. Kasema sawa.

Tangu juzi sijakwenda kwake wala kumpigia Simu, nmetuliza akili namuuguza wife kwanza.

Leo ananiuliza hivi namchukuliaje,
Hata Salam kuulizia tu mgojwa niliemtaarifu anaumwa kapelekwa hospitali ghafla anaendeleaje, hamna.

Anachoulizia direct Ni pesa zake za matumizi nilizoahidi ntafidia baada ya kuzitumia kugharamia chakula chake mwenyewe.

HUYU MWANAMKE HANA UTU, UBINADAMU WALA USTAARABU KABISA
Kazi mnayo,mimi hayo mambo yalishanishinda,unaweza pata pressure kabla ya siku zako,mke anakupa ma stress na huku mchepuko nao unakupa stress,hapo bado watoto,hapo bado kazini,hujaweka na mikopo bado...
 
Principle yangu ya kwanza kwa mchepuko ni huwa lazima awe njema upstairs kumshinda mke wangu...

Kama reasoning yake ni ndogo kumshinda mke wangu huwa hatuchukui round...

Sasa huyo mchepuko wako siyo tu ni hauna akili, bali hauna hata akili za kuzaliwa...

Au tuseme labda umeshakuona wewe ndo hamnazo...

Halafu kwanza unakuwaje na mchepuko unaouhudumia kiasi hiko, i mean kuhudumia ni sawa ila mpaka pesa ya chakula? Na usipotuma anamaindi? Kwa hiyo usingekuwepo wewe angelala njaa?
Yaani ukiona janaume lina demu asiye na akili ujue na lenyewe halina akili vile vile, mtu unapata wa kufanana nae.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom