Jolie Jolie
JF-Expert Member
- Dec 28, 2017
- 7,406
- 13,824
Mtu wa kuhesabu makosa ni kazi kuishi naeTunatofautiana mie si mpaka afanye vingi, nina uwezo wa kugundua mtu mapema, nakuwa namuhesabia siku akiyabananga mara 2 mara 3 inatosha, nasogea mbele, halafu sinaga tabia ya kumwambia mtu tuachane, napunguza mawasiliano, ule umuhimu wake kwangu unashuka kwa speed ya light.