BilioneaPATIGOO
JF-Expert Member
- Jun 23, 2012
- 12,320
- 11,345
umejibu kiutu uzima ...ni vile tu watu hatujui kinachoendelea katika ulimwengu wa rohoIngekua kuacha ni rahisi hivyo dunia ingekua nzuri
umejibu kiutu uzima ...ni vile tu watu hatujui kinachoendelea katika ulimwengu wa rohoIngekua kuacha ni rahisi hivyo dunia ingekua nzuri
InategemeaMapenzi ya kibinadamu nayo yanazaliwa yanakua na mwisho yanakufa, hiyo true love never dies ni mistari tu ya nyimbo
Kweli mamiiKweli kabisa maisha lazima yaendelee utaumia lakini badae utasahau kila kitu
Mungu kaumba kusahau unamsahau kama ulishawahi date na mtu kama huyoKweli mamii
Tupe kaushuhuda basiMungu kaumba kusahau unamsahau kama ulishawahi date na mtu kama huyo
Hahhaha ushuhuda wa nn sasa umeanza na mambo zakoTupe kaushuhuda basi
Mkuu unajua Dodoma??Ukijiliza kifala unampa credit sana.. Jifanye hakijatokea kitu nafsi itamsuta sana
Niko hapa nasubiri ushuhudaHahhaha ushuhuda wa nn sasa umeanza na mambo zako
Hii huwa msiba, kama misiba mingine hupita na kusahau maisha yakaendelea
Muda ndo mwalimu wa kila kitu, but unahitaji emotional intelligence kumove on, kupigwa Chini ni kawaida kama hasara kwenye biashara, Maisha lazima yaendelee
Nakazia hapoKuachwa kunauma sana kikubwa ni kukubali kuwajibika kwa matokeo.Usimlaumu mtu jua wewe ni sehemu ya mahusiano kuvunjika haijalishi nan katenda kosa.Hii itakupa nguvu ya kumove on.
Hapana achana nayo jolieNaomba kidogo kastori
Ndio mkuu vpMkuu unajua Dodoma??
hahahahahahhha achaaa,... naongea kutokana na uzoefuuUna ushuhuda najua