Kuna maisha baada ya kupigwa kibuti

Kuna maisha baada ya kupigwa kibuti

Kuna watu kureplace bf ni mwezi tu tena anakwambia kabisa anampenda bf mpya nabaki najiuliza anapata wapi moyo wa kupenda haraka hivyo.
Na fb anampost with a caption "nampenda sana bby wangu,wapambe kaeni pembeni"
 
Hata wa pembeni huwezi mpenda kama ulieachana nae kama kweli ulikua unampenda kutoka moyoni. Kuna watu hawawezi tu kukaa single. Wao wanapenda kukaa na mwanaume hata kama hampendi ila awepo.
Utampenda kwa kujipa moyo
 
Asante, tutambue tu kuna watu wanakuja kwneye maisha yetu kama baraka wengine huja kama mafundisho. Ukianguka unanyanyuka unajifuta vumbi unaendelea mbele, yeye si wa kwanza na wala hawezi kua wa mwisho,

Kubwa na cha msingi ni kujua hakua riziki yako pamoja na kujitoa kwake kwa hali na mali, utapata atakayejua thamani ya machozi yako na kukupa upendo mara mbili ya ulioutoa

Mwisho wa siku maisha lazima yaendelee kubali hali, lia unavyoweza hakikisha ukitoka hapo hulii tena then move on with your life.
Na wengine huja kama LAANA
 
kauli za kishujaa hizi[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] inategemea huyo mtu mmezoeana vipi aisee for the first time lazima u shake tu kqma bond ilikua strong ila kama ilikua kawaida ni easy tu.....smile will be there
Ndio mana unakuta kuna wale anaachana na mtu wake aliekuwa anampenda,anaanza kujifanya kwamba hajatingishika wala hajaumia kumbe anaugulia ndani kwa ndani.Ndo hapo unakuta anaanza kutumia pic insta au fb kwa mfululizo zikisindikizwa na caption za "hata bila wewe naweza kuishi" mara "happy with my life"
Kumbe ndani ana maumivu yasio na mfano,mtu kama huyu ni rahisi kufufua kisukari kilipolala maana anajaribu kufake smile kumbe anaumia
 
Back
Top Bottom