Kuna maisha baada ya kupigwa kibuti

Kuna maisha baada ya kupigwa kibuti

Hakuna anaependa kuachana, hakuna anaetarajia kuachana, kuna situation ikikufika huna budi ukubali tu kuachana ndio last option, nikupe mfano, umekua na mpenzi wako mmedumu miaka chungu nzima lakini kila unachofanya kwake sicho pengine amekua akikupa alama za kuonesha haupo moyoni mwake umejitahidi kusema mtu habadiliki na bado awe mwiba utavumilia had lini? Why uumie kila siku usononeke kila siku??
Naunga mkono
 
Wew tu ndio unaetia ugumu... Sasa jitu halikujali, halikuthamin, wala kukuheshimu utaling'ang'ania tu, shikilia uliposhikiliwa. Km anazingua muache aende yeye si mzazi wako.
Kabisa, au unajikuta wewe ndio unapiga sim tu, unamjali mtu wewe pekee, akiumwa masa 24 unauliza unaendeleaje, yan wewe unajinyima yeye awe better na bado jitu halioni hapana kwa kweli,
 
Back
Top Bottom