Malaika wa Kifo
JF-Expert Member
- Apr 11, 2012
- 4,089
- 4,733
Kumbe mi nipo mbele eeeh!
Maana nikipigwa chini huwa nacheka tu, ila bahati nzuri huwa nachukua hatua pale nionapo dalili za usaliti hivyo namwambia tu, "kila mtu achukue ustaarabu wake"
Maana nikipigwa chini huwa nacheka tu, ila bahati nzuri huwa nachukua hatua pale nionapo dalili za usaliti hivyo namwambia tu, "kila mtu achukue ustaarabu wake"