Hazard CFC
JF-Expert Member
- Apr 7, 2015
- 16,631
- 38,749
- Thread starter
- #101
HahahaNaona kuna mtu kaachika !!!
[emoji350][emoji350][emoji350] Jolie jolie vipi kwema huku ?
HahahaNaona kuna mtu kaachika !!!
[emoji350][emoji350][emoji350] Jolie jolie vipi kwema huku ?
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]2014 niliweka konyag ile size kati mdomoni,nikaipiga kama maji yote bila kutoa,,,yani nilifanya vitu vya ajabu hii msg isikie tu kwa watu
"Bby mimi na wewe basi,is not working"
wewe hayo mambo yasikie tu kwa wengine aiseeNimekumbuka mengiiii hapa.... Kipindi kile nlikua naona huna akili... Una mlilia mtuuu mxxxuii
Lakini hio smg ukiipata kama ukishajiandaa huwa haiumizi sana.2014 niliweka konyag ile size kati mdomoni,nikaipiga kama maji yote bila kutoa,,,yani nilifanya vitu vya ajabu hii msg isikie tu kwa watu
"Bby mimi na wewe basi,is not working"
Hamna ntakuelezea vizur wspNini sasa? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Not real... Ila ni vitu vibaya sana kuachana...especially kama ulishaanza kuwqza vitu vyako kichwqni and allUlitaka ku commit suicide ?
Lakini hio sms ukiipata kama ukishajiandaa huwa haiumizi sana.2014 niliweka konyag ile size kati mdomoni,nikaipiga kama maji yote bila kutoa,,,yani nilifanya vitu vya ajabu hii msg isikie tu kwa watu
"Bby mimi na wewe basi,is not working"
Kwahiyo ilikuaje? Nipe ubuyuTrust me... Kuumia is under statement
La mbolea zaidi hiloTuendelee kupiga moyo konde
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Naona kuna mtu kaachika !!!
[emoji350][emoji350][emoji350] Jolie jolie vipi kwema huku ?
Sasa hivi zamu yako mwangu. UmekomeshwaNimekumbuka mengiiii hapa.... Kipindi kile nlikua naona huna akili... Una mlilia mtuuu mxxxuii
HahhahahahahKwahiyo ilikuaje? Nipe ubuyu
Nilitafuta shati langu kwenye friji hyo siku[emoji23] [emoji23] [emoji23][emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Ukijiliza kifala unampa credit sana.. Jifanye hakijatokea kitu nafsi itamsuta sanaLa mbolea zaidi hilo
Ntasahau tuu... Unanijua.Sasa hivi zamu yako mwangu. Umekomeshwa
Yani sisi mambo yalikua mazuri kabisa,,yani hakakuonyesha hata dalili kale katoto[emoji23]Lakini hio smg ukiipata kama ukishajiandaa huwa haiumizi sana.
Pole mwaya. Mimi sijawahi kuachwa hivyo. Huwaga nikiona sielewi nakaa pembeni ila ndo ntaumiaaa kama nimepoteza nini sijui. Nakaaga kushoto mwenyewe halafu nalia hata mwaka hivi2014 niliweka konyag ile size kati mdomoni,nikaipiga kama maji yote bila kutoa,,,yani nilifanya vitu vya ajabu hii msg isikie tu kwa watu
"Bby mimi na wewe basi,is not working"
Siipendagi "baby its not you, its me nyoko nyoko nyoko"Nilitafuta shati langu kwenye friji hyo siku[emoji23] [emoji23] [emoji23]