Kuna maisha baada ya kupigwa kibuti

Hazard CFC

JF-Expert Member
Apr 7, 2015
16,615
38,590
Kupigwa kibuti sioo sababu ya wewe kuzeeka kwa vilio vya masononeko na lawama za Why me Lord Why me kama Shaggy..Tabasamu lako lazima liendelee kipindi cha Jua au kipindi cha mvua..Hakuna Binadamu mwenye kauli ya mwisho kwa furaha na smile yako,There is life still after a break up,kama alivyokuja kwenye maisha yako na kukukuta unasmile muache aondoke peke yake na aliache smile pale alipolikuta..Usimfanye ajihisi yeye ndo malkia saaaanaaa,au yeye ndo mfalme kiivyo,kwamba alipoondoka maisha yako yame-shake,kwani yeye ni nani??Alichangia hata koleo moja kwenye karai la udongo aliotumia Mungu kukuumba???Tupa kule...
Ladies and Gentlemen,Keep smiling always no matter what,wewe ni kama ATM ya NMB,People will always come in,withdraw money and go,Huna haja ya kumlilia mpuuzi yeyote asiyejua thamani ya Penzi lako!


Kamata glass tugonge cheers
 
Asante, tutambue tu kuna watu wanakuja kwneye maisha yetu kama baraka wengine huja kama mafundisho. Ukianguka unanyanyuka unajifuta vumbi unaendelea mbele, yeye si wa kwanza na wala hawezi kua wa mwisho,

Kubwa na cha msingi ni kujua hakua riziki yako pamoja na kujitoa kwake kwa hali na mali, utapata atakayejua thamani ya machozi yako na kukupa upendo mara mbili ya ulioutoa

Mwisho wa siku maisha lazima yaendelee kubali hali, lia unavyoweza hakikisha ukitoka hapo hulii tena then move on with your life.
 
Asante, tutambue tu kuna watu wanakuja kwneye maisha yetu kama baraka wengine huja kama mafundisho. Ukianguka unanyanyuka unajifuta vumbi unaendelea mbele, yeye si wa kwanza na wala hawezi kua wa mwisho,

Kubwa na cha msingi ni kujua hakua riziki yako pamoja na kujitoa kwake kwa hali na mali, utapata atakayejua thamani ya machozi yako na kukupa upendo mara mbili ya ulioutoa

Mwisho wa siku maisha lazima yaendelee kubali hali, lia unavyoweza hakikisha ukitoka hapo hulii tena then move on with your life.
Watu wengi huwa wanashindwa kupambana kabisa na hii hali,,huishia kuharibu kazi,masomo n.k
 
Asante, tutambue tu kuna watu wanakuja kwneye maisha yetu kama baraka wengine huja kama mafundisho. Ukianguka unanyanyuka unajifuta vumbi unaendelea mbele, yeye si wa kwanza na wala hawezi kua wa mwisho,

Kubwa na cha msingi ni kujua hakua riziki yako pamoja na kujitoa kwake kwa hali na mali, utapata atakayejua thamani ya machozi yako na kukupa upendo mara mbili ya ulioutoa

Mwisho wa siku maisha lazima yaendelee kubali hali, lia unavyoweza hakikisha ukitoka hapo hulii tena then move on with your life.

kakamgeni njoo usome hapa, uache kulia lia kiboya..
 
Back
Top Bottom