Hazard CFC
JF-Expert Member
- Apr 7, 2015
- 16,615
- 38,590
Kupigwa kibuti sioo sababu ya wewe kuzeeka kwa vilio vya masononeko na lawama za Why me Lord Why me kama Shaggy..Tabasamu lako lazima liendelee kipindi cha Jua au kipindi cha mvua..Hakuna Binadamu mwenye kauli ya mwisho kwa furaha na smile yako,There is life still after a break up,kama alivyokuja kwenye maisha yako na kukukuta unasmile muache aondoke peke yake na aliache smile pale alipolikuta..Usimfanye ajihisi yeye ndo malkia saaaanaaa,au yeye ndo mfalme kiivyo,kwamba alipoondoka maisha yako yame-shake,kwani yeye ni nani??Alichangia hata koleo moja kwenye karai la udongo aliotumia Mungu kukuumba???Tupa kule...
Ladies and Gentlemen,Keep smiling always no matter what,wewe ni kama ATM ya NMB,People will always come in,withdraw money and go,Huna haja ya kumlilia mpuuzi yeyote asiyejua thamani ya Penzi lako!
Kamata glass tugonge cheers
Ladies and Gentlemen,Keep smiling always no matter what,wewe ni kama ATM ya NMB,People will always come in,withdraw money and go,Huna haja ya kumlilia mpuuzi yeyote asiyejua thamani ya Penzi lako!
Kamata glass tugonge cheers