Kuna maeneo nchini hayatakiwi kukatiwa umeme sababu ya umuhimu wao kiuchumi. Kariakoo siyo moja wapo

Lycaon pictus

JF-Expert Member
Jan 31, 2021
7,243
12,772
Pamoja na mgao wa umeme, kuna sehemu hazitakiwi kukatiwa kabisa. Nimemsikia GUSSIE anasema wasikate umeme Kariakoo. Ukweli ni kuwa Kariakoo ni moja ya maeneo yanayotakiwa kukatiwa kabisa umeme iwapo kuna mgao.

Kariakoo ni eneo ambalo dola za nchi hii zinaoenda kupotea. Ndiko hazina ya nchi hii inakoenda kutumika kuagiza vitu nje. Faida ya Kariakoo kiuchumi kwa nchi hii huwezi kuilinganisha na Miji kama Geita, Kahama au Chunya ambayo huzalisha dhahabu zinazoleta pesa za kigeni.

Hizi pesa za kigeni ndizo zinalipa mikopo na kununua mahitaji kama mafuta na madawa nje ya nchi. Hizi pesa za kigeni ndizo zinaenda Kariakoo kusaidia uagizaji wa vitu nje ya nchi. Kiuchumi, miji inayokuingizia pesa za kigeni hutakiwi kabisa kuikatia umeme, utajiongezea tatizo juu ya tatizo.

Miji au sehemu zinazozalisha kwa ajili ya export ni muhimu kiuchumi kuliko soko "mjinga" lolote nchini hapa. Miji ya watalii kama Arusha, Moshi, Karatu; miji ya madini kama Geita, Kahama, Chunya; sehemu zinazozalisha kuexport kama SEZ's nk hazitakiwi kabisa kukatiwa umeme.
 
Mimi nimekuelewa sana mkuu,

Kariakoo haizalishi bali ni dalali wa kuuza bidhaa kutoka nje. Hivyo haiingizi pesa kigeni + kuongeza pato la nchi.
 
Pamoja na mgao wa umeme, kuna sehemu hazitakiwi kukatiwa kabisa. Nimemsikia GUSSIE anasema wasikate umeme Kariakoo. Ukweli ni kuwa Kariakoo ni moja ya maeneo yanayotakiwa kukatiwa kabisa umeme iwapo kuna mgao.

Kariakoo ni eneo ambalo dola za nchi hii zinaoenda kupotea. Ndiko hazina ya nchi hii inakoenda kutumika kuagiza vitu nje. Faida ya Kariakoo kiuchumi kwa nchi hii huwezi kuilinganisha na Miji kama Geita, Kahama au Chunya ambayo huzalisha dhahabu zinazoleta pesa za kigeni.

Hizi pesa za kigeni ndizo zinalipa mikopo na kununua mahitaji kama mafuta na madawa nje ya nchi. Hizi pesa za kigeni ndizo zinaenda Kariakoo kusaidia uagizaji wa vitu nje ya nchi. Kiuchumi, miji inayokuingizia pesa za kigeni hutakiwi kabisa kuikatia umeme, utajiongezea tatizo juu ya tatizo.

Miji au sehemu zinazozalisha kwa ajili ya export ni muhimu kiuchumi kuliko soko "mjinga" lolote nchini hapa. Miji ya watalii kama Arusha, Moshi, Karatu; miji ya madini kama Geita, Kahama, Chunya; sehemu zinazozalisha kuexport kama SEZ's nk hazitakiwi kabisa kukatiwa umeme.
Nini kinaanza Kati ya exportation na importation??

Bila kufanya import ya dhana za kuchimbia madini hata hayo madini hamuwezi kuchimba

Halafu angalia Kodi inayochangiwa na Kariakoo kwa mwezi sio propaganda za expor na import


Lastly, Kariakoo ni soko ambalo lina vitu vya kila idara au kazi

Ndio maana wafanyabiashara wa Kariakoo wakigoma kufungua wiki tu Tanzania nzima inayumba


ACHA KUFANANISHA KARIAKOO NA VITU VYA AJABU AJABU
 
Nini kinaanza Kati ya exportation na importation??

Bila kufanya import ya dhana za kuchimbia madini hata hayo madini hamuwezi kuchimba

Halafu angalia Kodi inayochangiwa na Kariakoo kwa mwezi sio propaganda za expor na import


Lastly, Kariakoo ni soko ambalo lina vitu vya kila idara au kazi

Ndio maana wafanyabiashara wa Kariakoo wakigoma kufungua wiki tu Tanzania nzima inayumba


ACHA KUFANANISHA KARIAKOO NA VITU VYA AJABU AJABU
Bila exportation utapata wapi pesa za kulipia imports?
 
Nini kinaanza Kati ya exportation na importation??

Bila kufanya import ya dhana za kuchimbia madini hata hayo madini hamuwezi kuchimba

Halafu angalia Kodi inayochangiwa na Kariakoo kwa mwezi sio propaganda za expor na import


Lastly, Kariakoo ni soko ambalo lina vitu vya kila idara au kazi

Ndio maana wafanyabiashara wa Kariakoo wakigoma kufungua wiki tu Tanzania nzima inayumba


ACHA KUFANANISHA KARIAKOO NA VITU VYA AJABU AJABU
Unafikiri kodi inayopatikana Kariakoo na dola zinazopatikana kwa kuuza madini, kupitia watalii na kuuza korosho kipi serikali inahitaji sana
 
Nini kinaanza Kati ya exportation na importation??

Bila kufanya import ya dhana za kuchimbia madini hata hayo madini hamuwezi kuchimba

Halafu angalia Kodi inayochangiwa na Kariakoo kwa mwezi sio propaganda za expor na import


Lastly, Kariakoo ni soko ambalo lina vitu vya kila idara au kazi

Ndio maana wafanyabiashara wa Kariakoo wakigoma kufungua wiki tu Tanzania nzima inayumba


ACHA KUFANANISHA KARIAKOO NA VITU VYA AJABU AJABU
Wewe unaijua GGM au NORTH MARA? au umekariri tu kariakoo na udalali mshenzi wenu
 
Pamoja na mgao wa umeme, kuna sehemu hazitakiwi kukatiwa kabisa. Nimemsikia GUSSIE anasema wasikate umeme Kariakoo. Ukweli ni kuwa Kariakoo ni moja ya maeneo yanayotakiwa kukatiwa kabisa umeme iwapo kuna mgao.

Kariakoo ni eneo ambalo dola za nchi hii zinaoenda kupotea. Ndiko hazina ya nchi hii inakoenda kutumika kuagiza vitu nje. Faida ya Kariakoo kiuchumi kwa nchi hii huwezi kuilinganisha na Miji kama Geita, Kahama au Chunya ambayo huzalisha dhahabu zinazoleta pesa za kigeni.

Hizi pesa za kigeni ndizo zinalipa mikopo na kununua mahitaji kama mafuta na madawa nje ya nchi. Hizi pesa za kigeni ndizo zinaenda Kariakoo kusaidia uagizaji wa vitu nje ya nchi. Kiuchumi, miji inayokuingizia pesa za kigeni hutakiwi kabisa kuikatia umeme, utajiongezea tatizo juu ya tatizo.

Miji au sehemu zinazozalisha kwa ajili ya export ni muhimu kiuchumi kuliko soko "mjinga" lolote nchini hapa. Miji ya watalii kama Arusha, Moshi, Karatu; miji ya madini kama Geita, Kahama, Chunya; sehemu zinazozalisha kuexport kama SEZ's nk hazitakiwi kabisa kukatiwa umeme.
Ni kweli kabisa. Nakuunga mkono 100%.
 
Back
Top Bottom