FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 36,066
- 40,725
==========================
Tangu Maharage pale TANESCO alipotoa tamko lisilo na mantiki na linalo-defy all logical reasoning, kwamba eti hata baada ya Megawatt 2100 kuanza kuzalishwa kwenye bwawa la Nyerere na kuingizwa kwenye Gridi bado eti umeme hautashuka bei, nimekuwa nikiwaza sana nisielewe hii itawezekana vipi?!
Ni kwamba Law ya demand vs Supply inagoma kabisa!! Kwamba matumizi yetu hivi sasa ni Megawatt 1,600, na ndizo zinazalishwa kwa sasa, halafu ghafla uingize Megawatt 3,700 kwenye gridi, huo umeme wote atautumia nani kwa ghafla hivyo hadi uishe?
Tulitegemea kwa kuwa umeme hauwezi kutunzwa kwenye betri, kwamba Tanesco washishe bei ili hadi vijijini wapikie majiko ya umeme, kiasi umeme huo sasa utumike wote bila kupotea, vinginevyo itabidi tufungulie maji bwawani yamwagike bire bila kuzalisha umeme.
Sasa leo ndio nimejua mchezo wanaotaka kufanya, ni mwamba hizo Megawatt 2,100 za Bwawa la Nyerere tutazisikia kwenye bomba tu, maana zitaingizwa kwenye gridi ya taifa na kuwa offloaded kwenda Zambia, Malawi, Uganda, Kenya ,Zanzibar, Burundi, Rwanda, Msumbiji, na hata sentano mbuni hatutaiona ya mauzo ya umeme. How? Kwanini nasema hivi?
1.) Umeme huo hautaonekana kwamba umetoka Tanesco, bali kuna dogo mmoja inadaiwa ni mtoto wa mama yetu, yeye kaongozana eti na maafisa wa Wizara ya Nishati ili azalishe umeme wa Solar na kuiuzia Uganda , 😂😂😂, kwamba umeme utoke Rufiji, mseme ni umeme jua wa huyo dogo? Halafu malipo yote alipwe yeye?!! 😂😂😂 , ujamja wa kizani sana huu...
2.) Inadaiwa January Makamba anakazana sana kuunganisha gridi ya Tanzania na Gridi za Rwanda kupitia Rusumo, na anafanya mikutano na nchi nyingi zinazotuzunguza hasa malawi, Zambia na wengine eti tuunganishe gridi yetu kwa pamoja ili tuuziane umeme panapokuwa na upungufu. Shida hapa ni kwamba umeme utatoka Rufiji halafu watasema ni umeme wa gesi, hivyo malipo yataenda kwa wenye gesi yao.., sisi tutabaki kulipa mkopo wa Trillion 10 zilizotumika kujenga hiko bwawa, kwa tozo za miamala na kodi za majengo za kwenye umeme zilizopoandishwa.
Hivi mtu mwenye akili timamu unakubali vipi kuambiwa kwamba Megawatt 2,100 ziingizwe kwenye gridi na bado zote zitumike ziishe bila kushusha bei?!!!
We are finished!! Tumekwisha...
I can’t imagine huyo mama abaki hapo hadi 2030, kweli?!! Tanganyika Tutakuwa na hali gani sisi, si tutakuwa tunatembea tunaongea wenyewe kama wehu?!
=========================
Uganda's Museveni, Tanzania seek to enter energy deal - UG Standard - Latest News
President Yoweri Kaguta Museveni has today met a group of delegates from Tanzania at State House Entebbe. During the meeting, the President and the visiting delegation discussed future cooperation in the area of Energy between Uganda and Tanzania. The energy engagement mainly centered around the...
www.ugstandard.com
Taifa Gas to invest in Zambia's power generation - Sauti Kubwa
President Hichilema said: "Adding value to our mining will accelerate economic development, create employment and business opportunities along the value chain and I am very keen to see joint venture investments between local Zambians and regional partners to achieve this."
sautikubwa.org
Rostam aungana na wawekezaji kuleta mageuzi ya nishati Zanzibar, bilioni 330 kutumika
Spread the love
mwanahalisionline.com
Yote uliyo sema ndivyo yalivyo hata umewai kusikia sijui wawekezaji wa umeme wa sola wanakuja tz wanaingia mikataba na serikali pamoja na tanesco kinacho fanyika ndiyo hicho ulicho sema wanajidai ni wakekezaji wameuzia umeme tanesco kumbe ni uongo tunapigwa ...umeme hakuna uzalishaji wowote wanao zalisha bali wanagawana pesa ya nchi
Pia kinacho fanyika ni mafisadi wa gesi kina Rostam azizi na msoga gang wana kataa kata kata kuwa bei ya umeme kamwe isishuke kwa sababu ya biashara yao ya gesi .....ukweli kama serikali ya ccm aikup8nduluwa kwa namna yoyote na baadhi ya watu kama 2000 hivi kunyongwa na familia zao, nchi itapata tabu sana hii
MAFISADI YA GESI NDIYO SABABU YA WANANCHI KUTOKUNUFAIKA NA BWAWA LA UMEME HIVYO WAHUNI WA SAMIA WANATENGE NEZA FURSA ZA KIFISADI KAMA HIZO ZA KUUZA UMEME NJE YA NCHI KWA KUPITIA MAKAMPUNI YAO WANAYO YAUNDA SASA HIVI.
Samia ni adui wa watanganyika ni lazima kifanyike kitu hsraka sana.
Update: 24/04/2024
View: https://www.instagram.com/p/C6HWnolCz_q/?igsh=NGVrbTZmeW5uNmxk