Eli Cohen
JF-Expert Member
- Jun 19, 2023
- 1,399
- 4,264
Siamini eti ni mihemuko ya kihisia ndio inatufanya tu babaike na urembo wa mwanamke maana hata mwanamke mrembo anatamaniwa hadi na mwanamke mwenzake.
Tangu hii dunia ianze tumeona jinsi mwanamke mrembo alivyowadondosha watu wazito na mataifa mazito. Hakuna mwanamke mrembo masikini hapa duniani. Ushawishi wa urembo wake utamfanya afikie viwango ambvyo siivyo vya taaluma yake na amavyo visivyokuwa vya haki yake.
Mwenyewe hapo umempangia mchepuko na kumfungulia biashara. Ni kitu ulichokifanya ambacho hukutegemea kukifanya maishani mwako lakini ulipokutana na energy kali kutoka kwa uzuri wa huyo hawala basi ukatuliza ubabe wako woote.
Uzuri mkali wa mwanamke ni nyota yenye sumaku kali. Wanawake wazuri wametumika kuwakamata waharifu, kufanya utapeli na kufanya mitego mingi iliotengeneza manufaa kwao na kwa wanaowatumia
Nyie angalieni miji midogo mnayoishi alafu muangalie wale pisi kali ambazo mliwahi kuzijua. Mtagundua zimeamia miji mikubwa yenye fursa kubwa na yenye mabwana wenye bank accounts nene.
There is something powerful kutoka kwa mwanamke mzuri. Biashara zinategemea muonekane wao katika matangazo, huko insta watu wanatangaza maduka yao kupitia mabinti warembo, mabenki wanawatumia kwenye reception na mabaa na lounges ndio usiseme.
Tangu hii dunia ianze tumeona jinsi mwanamke mrembo alivyowadondosha watu wazito na mataifa mazito. Hakuna mwanamke mrembo masikini hapa duniani. Ushawishi wa urembo wake utamfanya afikie viwango ambvyo siivyo vya taaluma yake na amavyo visivyokuwa vya haki yake.
Mwenyewe hapo umempangia mchepuko na kumfungulia biashara. Ni kitu ulichokifanya ambacho hukutegemea kukifanya maishani mwako lakini ulipokutana na energy kali kutoka kwa uzuri wa huyo hawala basi ukatuliza ubabe wako woote.
Uzuri mkali wa mwanamke ni nyota yenye sumaku kali. Wanawake wazuri wametumika kuwakamata waharifu, kufanya utapeli na kufanya mitego mingi iliotengeneza manufaa kwao na kwa wanaowatumia
Nyie angalieni miji midogo mnayoishi alafu muangalie wale pisi kali ambazo mliwahi kuzijua. Mtagundua zimeamia miji mikubwa yenye fursa kubwa na yenye mabwana wenye bank accounts nene.
There is something powerful kutoka kwa mwanamke mzuri. Biashara zinategemea muonekane wao katika matangazo, huko insta watu wanatangaza maduka yao kupitia mabinti warembo, mabenki wanawatumia kwenye reception na mabaa na lounges ndio usiseme.