Kuna kazi wanaozifanya sijawahi kuelewa huwa wanaishi vipi

Kuna kazi wanaozifanya sijawahi kuelewa huwa wanaishi vipi

Yoda

JF-Expert Member
Joined
Jul 22, 2018
Posts
57,240
Reaction score
90,297
Wamachinga watembezi bidhaa barabarani, bar n.k.
Wapiga debe,
Wauza ice cream,
Wabeba mizigo(makuli),
Wachuuzi stendi,
Waokota makopo(sijui hata kama ni kazi)

Sijawahi kuelewa mtu anayefanya hizi kazi anawezaje kukidhi mahitaji yake ya chakula, mavazi, makazi na kuhudumia familia bila kukata tamaa ya maisha.

Ni kazi za kusikitisha sana.
 
Wamachinga watembezi bidhaa barabarani, bar n.k.
Wapiga debe,
Wauza ice cream,
Wabeba mizigo(makuli),
Wachuuzi stendi,

Sijawahi kuelewa mtu anayefanya hizi kazi anawezaje kukidhi mahitaji yake ya chakula, mavazi, makazi na kuhudumia familia bila kukata tamaa ya maisha.

Ni kazi za kusikitisha sana.
Mkuu ukikaa nao chini unaweza ukajikuta pesa wanayopata ni zaidi ya mfunga tai anayekula kiyoyozi na anayetebelea crown.

Kuna jamaa yangu mmoja shughuli zake ni kuuza vipande vya tikitiki vya jero na buku ,jamaa ana mjengo mkali sana ,na kazi yake ni hiyo hiyo ,kuna mwingine anauza chipsi aisee ni hatari ana mijengo mitatu ,miwili mkoa anakusanya kodi na mmoja DIZIM ndipo anapokaa.

Kuna mwingine anaosha magari aisee wana maisha hao jamaa sema wasomi huwa wanawachukulia poa.

Kuna wengine wanaingiza pesa ni bodaboda nina maanisha boda ambaye anajielewa siyo hawa tatu mzuka au vishandu ,hao bodaboda au bajaji wanaingiza hadi laki sometime per day.
 
Wamachinga watembezi bidhaa barabarani, bar n.k.
Wapiga debe,
Wauza ice cream,
Wabeba mizigo(makuli),
Wachuuzi stendi,

Sijawahi kuelewa mtu anayefanya hizi kazi anawezaje kukidhi mahitaji yake ya chakula, mavazi, makazi na kuhudumia familia bila kukata tamaa ya maisha.

Ni kazi za kusikitisha sana.
Wanapiga pesa sana hao.....Hao wanaopanga bidhaa kwenye vituo vya daladala kwa siku anaweza akafunga mauzo hadi laki na nusu na akaingiza faida hadi elfu 60...ukipiga kwa mweiz anamzidi Graduate kwa kipato.
 
Mkuu ukikaa nao chini unaweza ukajikuta pesa wanayopata ni zaidi ya mfunga tai anayekula kiyoyozi na anayetebelea crown.

Kuna jamaa yangu mmoja shughuli zake ni kuuza vipande vya tikitiki vya jero na buku ,jamaa ana mjengo mkali sana ,na kazi yake ni hiyo hiyo ,kuna mwingine anauza chipsi aisee ni hatari ana mijengo mitatu ,miwili mkoa anakusanya kodi na mmoja DIZIM ndipo anapokaa.

Kuna mwingine anaosha magari aisee wana maisha hao jamaa sema wasomi huwa wanawachukulia poa.

Kuna wengine wanaingiza pesa ni bodaboda nina maanisha boda ambaye anajielewa siyo hawa tatu mzuka au vishandu ,hao bodaboda au bajaji wanaingiza hadi laki sometime per day.
Ujenge mjengo mkali kwa kuuza vipande vya tikiti tu?

Maishaaaaaa!!!

Labda kama kuna biashara zingine wanaficha na hawataki kuzisema hadharani.
 
Ujenge mjengo mkali kwa kuuza vipande vya tikiti tu?

Maishaaaaaa!!!

Labda kama kuna biashara zingine wanaficha na hawataki kuzisema hadharani.
Mkuu unaweza ukabisha ila wanapiga pesa sana ,akinunua tikiti moja kubwa na akalikata vipande ana uhakika wa tikiti moja kupata faidi ya elfu 5 na kwa siku kuanzia saa sita mchana mpaka saa nne usiku anauza tikiti 15 hadi 20...so ana uhakika wa kuingiza elfu 75 hadi laki kwa siku.

Na tambua hao jamaa hawana vijiwe vimoja ,biashara ikishamuendea vizuri anaajiri vijana wengine kwenye sehemu nyingine ,anaweza kumiliki hata vijiwe vinne kama wafanyavyo wauza chips au wenye majiko sehemu za bar.
 
Mtu anayetembeza bidhaa au anayeuza bidhaa anaweza kupata kipato cha wastani cha watanzania wote. ,, tsh 300,000+ halafu ngoja ni kuulize mkuu hivi unajua kipato cha watanzania 90% ni chini ya laki tano kwa mwezi? Mbona wanaishi 🤣
 
Mkuu ukikaa nao chini unaweza ukajikuta pesa wanayopata ni zaidi ya mfunga tai anayekula kiyoyozi na anayetebelea crown.

Kuna jamaa yangu mmoja shughuli zake ni kuuza vipande vya tikitiki vya jero na buku ,jamaa ana mjengo mkali sana ,na kazi yake ni hiyo hiyo ,kuna mwingine anauza chipsi aisee ni hatari ana mijengo mitatu ,miwili mkoa anakusanya kodi na mmoja DIZIM ndipo anapokaa.

Kuna mwingine anaosha magari aisee wana maisha hao jamaa sema wasomi huwa wanawachukulia poa.

Kuna wengine wanaingiza pesa ni bodaboda nina maanisha boda ambaye anajielewa siyo hawa tatu mzuka au vishandu ,hao bodaboda au bajaji wanaingiza hadi laki sometime per day.
Ndio maana sijawataja wauza matunda, waosha magari na bodaboda. Kuna namna fulani muuza matunda katika Jiji kubwa anaweza kupiga hatua akakuza biashara na kipato, muosha magari tayari muda wote anakutana na watu wenye pesa na michongo, anaweza kuwa chawa, akajipatia sugar mamy, akaanzisha kijiwe chake kutokana na network aliyo nayo n.k. Bodaboda wanapata pesa nyingi sana, mtu unaweza kupata maendeleo kiasi kama hutakufa mapema au kuwa kilema kwa ajali.
 
Mkuu ukikaa nao chini unaweza ukajikuta pesa wanayopata ni zaidi ya mfunga tai anayekula kiyoyozi na anayetebelea crown.

Kuna jamaa yangu mmoja shughuli zake ni kuuza vipande vya tikitiki vya jero na buku ,jamaa ana mjengo mkali sana ,na kazi yake ni hiyo hiyo ,kuna mwingine anauza chipsi aisee ni hatari ana mijengo mitatu ,miwili mkoa anakusanya kodi na mmoja DIZIM ndipo anapokaa.

Kuna mwingine anaosha magari aisee wana maisha hao jamaa sema wasomi huwa wanawachukulia poa.

Kuna wengine wanaingiza pesa ni bodaboda nina maanisha boda ambaye anajielewa siyo hawa tatu mzuka au vishandu ,hao bodaboda au bajaji wanaingiza hadi laki sometime per day.
Hizi story tunazijua na tumezichoka, acheni mambo yenu ya motivesheno tupeni siri ya utajiri.
 
Wamachinga watembezi bidhaa barabarani, bar n.k.
Wapiga debe,
Wauza ice cream,
Wabeba mizigo(makuli),
Wachuuzi stendi,

Sijawahi kuelewa mtu anayefanya hizi kazi anawezaje kukidhi mahitaji yake ya chakula, mavazi, makazi na kuhudumia familia bila kukata tamaa ya maisha.

Ni kazi za kusikitisha sana.
Kuhusu wapiga debe naweza kuwasemea kuwawanapata pesa sana. Kuna ninayemfahamu ana watoto wanne wanaosoma na Mkewe hana kazi ya kuingiza kipato ila jamaa anaingia stend saa 11 asubuhi ikifika saa 4 mfukoni ana hela nzuri tu, halafu chakula wananunua cha 1500/= so anasave vizuri.
 
Back
Top Bottom