Kuna faida gani za nchi kuruhusu mataifa kuingia bila VISA?

Ukilinganisha na majirani zetu, na nchi nyingine za Afrika, sisi wabingo sio watu wa kutoka na kusaka fursa nje ya mipaka yetu.

Ndio maana hoja kama hizi tunazizungumzia kwenye misingi ya uoga na kutoelewa.

Tukiwa watu wa kutoka tutaona alichifanya Kenya na faida sana.
 
Sasa unapoteza nini kufungua mipaka kwa maskini mwenzako?

Na ni nchi ngapi Africa zimeruhusu hiyo free movement au hata hapa Africa Mashariki? Wewe kama unataka nenda tu huko Kenya utatuletea ulichopata siku ukirudi! Kamwambie hivyo na Kaguta Museveni au Kiir wa Sudani Kusini au Tshisekedi wa DRC au huyu wa juzi wa Somalia! Unadhani wao hawapendi hiyo free movement wakati wapo kwenye jumuiya? Mbona unarukia huku Tz? Kawaulize hao niliokutajia kama unadhani free movement ni kama kutafuna njugu!
 
Screenshot_20231212-204808.png
 
Ukilinganisha na majirani zetu, na nchi nyingine za Afrika, sisi wabingo sio watu wa kutoka na kusaka fursa nje ya mipaka yetu.

Ndio maana hoja kama hizi tunazizungumzia kwenye misingi ya uoga na kutoelewa.

Tukiwa watu wa kutoka tutaona alichifanya Kenya na faida sana.

Uganda naye kafungua mipaka? Vipi DRC, Sudan Kusini maana hizi zipo hapa hapa East Africa! Nao ni waoga kama wabongo? Na kwa bara zima la Africa ni nchi ngapi zimefanya hivyo! Nenda Africa Kusini bila visa au Nigeria au Misri au Morocco au Libya! Tusione Kenya ndiyo imeonyesha mfano Africa! Kwa nini bara zima la Africa lisifute visa? Lazima zipo sababu! Anayetaka kwenda Kenya ruksa!
 
Nimeona Rais wa Kenya Ruto amefuta visa entry requirement kwake.

Kuna faida yeyote ya kiuwekezaji?

Je dola 20 au 50 zilikua kikwazo kuingiza watu nchini?

Kwamba kuna wawekezaji serious walishindwa kwenda Kenya kwa kukosa dola 30?

Hii kwangu naiona kama njia ya kukaribisha magaidi nchini Kenya na sio njia au jambo zuri la kuiga Tanzania
ukifanya hivyo, kesho uhamiaji watajaa wasomali maelfu kwa kigezo cha utalii tutaingiza magaidi nchini.
Kwani una dhani gaidi anakosa dola 30 za visa?
 
Nimeona Rais wa Kenya Ruto amefuta visa entry requirement kwake.

Kuna faida yeyote ya kiuwekezaji?

Je dola 20 au 50 zilikua kikwazo kuingiza watu nchini?

Kwamba kuna wawekezaji serious walishindwa kwenda Kenya kwa kukosa dola 30?

Hii kwangu naiona kama njia ya kukaribisha magaidi nchini Kenya na sio njia au jambo zuri la kuiga Tanzania
ukifanya hivyo, kesho uhamiaji watajaa wasomali maelfu kwa kigezo cha utalii tutaingiza magaidi nchini.
Dola 50 iliyopaswa kulipia visa inaweza kutumika kwenye hoteli atakayofikia mgeni, aidha kwa usafiri au kuongeza siku za kukaa hotelini. Mkakati huu unaweza kutumika kupata watalii wengi watakao chagua kutembelea Kenya, Lakini Kenya inajiweka kwenye nafasi kwa passport ya Kenya kukubaliwa bila visa kwa mtindo ule ule .... Kitu wanaita: "Reciprocity"
 
Nimeona Rais wa Kenya Ruto amefuta visa entry requirement kwake.

Kuna faida yeyote ya kiuwekezaji?

Je dola 20 au 50 zilikua kikwazo kuingiza watu nchini?

Kwamba kuna wawekezaji serious walishindwa kwenda Kenya kwa kukosa dola 30?

Hii kwangu naiona kama njia ya kukaribisha magaidi nchini Kenya na sio njia au jambo zuri la kuiga Tanzania
ukifanya hivyo, kesho uhamiaji watajaa wasomali maelfu kwa kigezo cha utalii tutaingiza magaidi nchini.
Nilivyomuelewa Ruto, amebadilisha utaratibu tu na sasa 'visa' uwanjani yaani, 'airport' baada ya kuwasili..
 
Nimeona Rais wa Kenya Ruto amefuta visa entry requirement kwake.

Kuna faida yeyote ya kiuwekezaji?

Je dola 20 au 50 zilikua kikwazo kuingiza watu nchini?

Kwamba kuna wawekezaji serious walishindwa kwenda Kenya kwa kukosa dola 30?

Hii kwangu naiona kama njia ya kukaribisha magaidi nchini Kenya na sio njia au jambo zuri la kuiga Tanzania
ukifanya hivyo, kesho uhamiaji watajaa wasomali maelfu kwa kigezo cha utalii tutaingiza magaidi nchini.
Ya kwamba magaidi wao ndo watakosa hizo dora 30 za viza?

Au ya kwamba ugaidi una zuiliwa kwa visa? Alafu mbona wasomali wamejaa kila sehemu ya nchi hii na mpaka wengine wana mamlaka makubwa ya kiuongozi ndani ya nchi yako?
 
Back
Top Bottom