baunsamuoga
JF-Expert Member
- Apr 16, 2023
- 285
- 396
Sahihi kbsaaa! Haya mambo yanahitaji jicho la 3Plani zote hizi ni ili Tanzania ikosee tu,ijiingize kwenye ujinga huu.
Sahihi kbsaaa! Haya mambo yanahitaji jicho la 3Plani zote hizi ni ili Tanzania ikosee tu,ijiingize kwenye ujinga huu.
Nadhani watu wengi hapa TZ akili hazifanyi kazi. Free movements ndiyo dunia ya sasa.
Hahahaha! Hebu lifanyie kazi hilo hrf utuletee mrejesho mkuu!Ujinga nao ni kipaji, kwani kuna Visa inadaiwa unapotembelea nchi za Afrika Mashariki?
Nadhani na sisi tuondoe vikwazo vya visa kwa nchi zote za Africa isipokua zenye usalama mbovu wa raia wake.
Hii italeta chachu ya maendeleo.
Ila serekali iwe makini na kuongeza ufuatiliaji.
Sasa unapoteza nini kufungua mipaka kwa maskini mwenzako?Maendeleo gani yanapatikana kwa maskini kupeana free movements?
Sasa unapoteza nini kufungua mipaka kwa maskini mwenzako?
Tuelezee mkuu, kwanini unasema ili Tanzania aingie? Kwanini Tanzania awe target?
Ameplan nini kenya kwa Tz?
Tupe madini mkuu.
YEP!Basi kama ni rahisi kama unavyowaza nenda Somalia na hiyo free movement yako!
👏Inasaidia kuongeza fedha za kigeni, kwa sababu itatembelewa na watu wengi. Pia inawezekana pia ikaendana na marekebisho chanya katika uwekezaji, na kuweza kuzalisha ajira za kutosha.
Pia wanajiwekea mazingira kwa wananchi wake kukubaliwa huko nje wanakoenda kutafuta fursa; kwa kuimarisha ushirika na nchi za kigeni.
Ukilinganisha na majirani zetu, na nchi nyingine za Afrika, sisi wabingo sio watu wa kutoka na kusaka fursa nje ya mipaka yetu.
Ndio maana hoja kama hizi tunazizungumzia kwenye misingi ya uoga na kutoelewa.
Tukiwa watu wa kutoka tutaona alichifanya Kenya na faida sana.
Kwani una dhani gaidi anakosa dola 30 za visa?Nimeona Rais wa Kenya Ruto amefuta visa entry requirement kwake.
Kuna faida yeyote ya kiuwekezaji?
Je dola 20 au 50 zilikua kikwazo kuingiza watu nchini?
Kwamba kuna wawekezaji serious walishindwa kwenda Kenya kwa kukosa dola 30?
Hii kwangu naiona kama njia ya kukaribisha magaidi nchini Kenya na sio njia au jambo zuri la kuiga Tanzania
ukifanya hivyo, kesho uhamiaji watajaa wasomali maelfu kwa kigezo cha utalii tutaingiza magaidi nchini.
"Magaidi" ya Kisomali yamejaa Kenya na mengine yako CCM.Magaidi wanashindwa kulipa hiyo dola 30. Huna hoja
Dola 50 iliyopaswa kulipia visa inaweza kutumika kwenye hoteli atakayofikia mgeni, aidha kwa usafiri au kuongeza siku za kukaa hotelini. Mkakati huu unaweza kutumika kupata watalii wengi watakao chagua kutembelea Kenya, Lakini Kenya inajiweka kwenye nafasi kwa passport ya Kenya kukubaliwa bila visa kwa mtindo ule ule .... Kitu wanaita: "Reciprocity"Nimeona Rais wa Kenya Ruto amefuta visa entry requirement kwake.
Kuna faida yeyote ya kiuwekezaji?
Je dola 20 au 50 zilikua kikwazo kuingiza watu nchini?
Kwamba kuna wawekezaji serious walishindwa kwenda Kenya kwa kukosa dola 30?
Hii kwangu naiona kama njia ya kukaribisha magaidi nchini Kenya na sio njia au jambo zuri la kuiga Tanzania
ukifanya hivyo, kesho uhamiaji watajaa wasomali maelfu kwa kigezo cha utalii tutaingiza magaidi nchini.
Nilivyomuelewa Ruto, amebadilisha utaratibu tu na sasa 'visa' uwanjani yaani, 'airport' baada ya kuwasili..Nimeona Rais wa Kenya Ruto amefuta visa entry requirement kwake.
Kuna faida yeyote ya kiuwekezaji?
Je dola 20 au 50 zilikua kikwazo kuingiza watu nchini?
Kwamba kuna wawekezaji serious walishindwa kwenda Kenya kwa kukosa dola 30?
Hii kwangu naiona kama njia ya kukaribisha magaidi nchini Kenya na sio njia au jambo zuri la kuiga Tanzania
ukifanya hivyo, kesho uhamiaji watajaa wasomali maelfu kwa kigezo cha utalii tutaingiza magaidi nchini.
Ya kwamba magaidi wao ndo watakosa hizo dora 30 za viza?Nimeona Rais wa Kenya Ruto amefuta visa entry requirement kwake.
Kuna faida yeyote ya kiuwekezaji?
Je dola 20 au 50 zilikua kikwazo kuingiza watu nchini?
Kwamba kuna wawekezaji serious walishindwa kwenda Kenya kwa kukosa dola 30?
Hii kwangu naiona kama njia ya kukaribisha magaidi nchini Kenya na sio njia au jambo zuri la kuiga Tanzania
ukifanya hivyo, kesho uhamiaji watajaa wasomali maelfu kwa kigezo cha utalii tutaingiza magaidi nchini.
Lakini huo ujinga wa mtu mweusi sidhani kama utakuwa unazidi wa kwako unaye dhani kuwa muharifu ana zuiwa na visa.Niujinga wa mtu mweusi ...hakuna faida yoyote zaidi ya kufungua mlango kwa wahalifu