Shujaa Mwendazake
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 3,734
- 6,292
Wiki hii kumetoke trending katika mitandao mingi ya ya kijamii inayomuonesha Askari polisi akiwa kwenye gari na akisikiliza wimbo wa Whozu "Vava vava Vavavavayo" .
Nimezunguka Twitter kote na Instagram , kuna walioenda moja kwa moja na kumpa tuhuma za Ushoga. Sasa kwa kuwa video hiyo inamuonesha akiwa na Gwanda. Hii ni aibu na inachafua taswira ya Jeshi la Polisi.
Why dont you come out and mtoe ufafanuzi za je ni uzushi am si uzushi, na kwa kuwa nyie ndo mamlaka ya usimamizi wa sheria, kwa nini msichukue hatua za kisheria ikibainika ni kweli ama si kweli.
1. Kama ni kweli asimamishwe kazi na kuchukuliwa hatua za kisheria.
2. Kama sikweli asisimamishwe kazi na waliozusha na kutengeneza uvumi huo wachukuliwe hatua.
Picha nyingine inayosambazwa ni hii:
Nimezunguka Twitter kote na Instagram , kuna walioenda moja kwa moja na kumpa tuhuma za Ushoga. Sasa kwa kuwa video hiyo inamuonesha akiwa na Gwanda. Hii ni aibu na inachafua taswira ya Jeshi la Polisi.
Why dont you come out and mtoe ufafanuzi za je ni uzushi am si uzushi, na kwa kuwa nyie ndo mamlaka ya usimamizi wa sheria, kwa nini msichukue hatua za kisheria ikibainika ni kweli ama si kweli.
1. Kama ni kweli asimamishwe kazi na kuchukuliwa hatua za kisheria.
2. Kama sikweli asisimamishwe kazi na waliozusha na kutengeneza uvumi huo wachukuliwe hatua.
Picha nyingine inayosambazwa ni hii: