Motor Trend is an American automobile magazine. It first appeared in September 1949, and is notable for introducing the first Car of the Year designation, also in 1949. Petersen Publishing Company in Los Angeles published Motor Trend until 1998, when it was sold to British publisher EMAP, who then sold the former Petersen magazines to Primedia in 2001. It bears the tagline "The Magazine for a Motoring World". Petersen Publishing As of 2019, it is published by Motor Trend Group. It has a monthly circulation of over one million readers.
Kuna wakati warembo wetu hawakutaka kusikia kitu kinaitwa soka ila soka la bongo lilipo fanyia investment na promotion ya nguvu basi dada zetu hao wakatia kambi🤣 ili wawe na show off na gears za ki-soka
Kuna wakati mwanamke mnene na makalio alionekana kama kama mzigo fulani hivi akawa...
Upatu na ponzi scheme zimekula pesa za watu sanaaa, na imekuwa rahisi kuliwa pesa zao kama mtu huyo anaekusanya pesa zao akiwa ni mtu maarufu kwenye mitandao au biashara.
Ni tamaa za kupata faida haraka haraka ambazo unakuta wanahaidiwa?
Ulimbukeni wetu katika maswala ya uwekezaji?
Mashabiki wa Simba Mashabiki Simba nawaita Tena Simba jiandaen kalieni kusema Yanga ananunua match ila mnajisahau kwenye hili.
Muulizeni Mganga wenu hili kama analifanyia kazi?
Nenden mkajikumbushe games 5 za nyuma za Yanga kabla hajaja kuwapiga Zile 5 alikua anashinda Kwa goli ngapi ngapi...
Zamani kidogo kama miaka 15 nyuma ukisikia msiba mara nyingi unakuta ni mtu pamoja na kuwa mzee wa walau zaidi ya miaka 65 ila utakuta hata ukimuangalia utaambiwa kabisa bwana huyu alikuwa mgonjwa wa ugonjwa ABCDE na hata ukimuangalia marehemu unakuta kweli kachokaa, yaani magonjwa yamempiga...
Wakuu.
Sahivi naona kila kampuni la simu either lina models za ku-flip au ku-fold na kama hazipo sokoni basi wapo mbioni kutoa. Ni trend inayofanya vizuri.
Sasa hivi hadi makampuni ambayo uwa yanachukuliwa "poa" wametoa flip na fold.
Sasa kwa jinsi vidude vilivokua na bei kubwa, risk na...
Kwanza msiogope washabiki wa Mpira, Kuna mahesabu ya Utabiri wa Bingwa wa ligi pamoja na msimamo wa ligi kuu pale itakapofikisha mechi ya 30, mahesabu haya yanafanyika Kwa ligi mbalimbali ikiwemo premier league ya UK.
Kulingana na teknolojia ya Artificial intelligence Kwa kutumia trend...
Aisee ukiona dem wako ni mzuri na ni mweupe lakini ana mazoea ya kupitiliza na dem mwingine wa kiarabu basi odds kubwa ni kwamba wanasagana.
Nina mifano mingi sana na nilianza kuobserve hili swala toka nikiwa Morogoro, na baadae kwenye kona mbalimbali za dar.
Mifano ipo mingi sana, siwezi...
Wadada, wembamba!
Jitahidi kwenye kabati lako usikose cargo pants moja au mbili, mkivaa zinawapendeza sana.
Ukijua kuipatia na shirt au jersey na chini raba mnapendeza kinoma.
Kama una girlfriend mwembamba msuprise cargo one time, atafurahi.
Kama kitovu kizuri unaweza kionesha kinanoga na...
Mtanisamehe kwa makala ndefu ila hili inabidi leo tuliongelee.
Mimi ni mmoja wa watu ambao kuna kipindi nilikuwa nashangaa nikikuta mwanaume ana jina la kike. Kyrie, Shannon, Courtney, Lindsay, Klay yote ni majina yalikuwa yananishangaza kukuta amepewa mwanaume. Nikaja kukutana na Joyce ndiyo...
Kila baada ya wiki Moja linaibuka jambo jipya sana Lina trend sana Kwa Tanzania Kwa mfono wiki iliyoisha yalikuwepo matukio mawili makubwa ambayo ni Mauaji wa Mtoto Asimwe na Mgomo wa Wafanya biashara Nchi nzima. Sasa wikii hii (01.07.2024) Hostest news Kwa Tanzania ni
1.Mchungaji peter Msigwa...
Wakuu. Sijui umri unanienda au? Kuna baadhi ya "trend" za magari naona zinazidi kushika kasi. Najua "maybe" ata Automatic transmission zinavyoingia kuna watu waliona jau, ila ishazoeleka sahivi.
Ngoja niwape mifano yangu muone:
1. Gear Knobs za kuongeza kama Sauti
Hizi nimeona kwenye Disco...
Nimeiona hii video ya kijana Ali mwenye ulemavu na tatizo la kifafa. Nimesikitika sana alichofanyiwa na wananchi wenzetu wa Zanzibar.
Huyu kijana kwa wanaomjua wanasema amekulia Sinza na ni mlemavu kweli na amekua akiishi kwa kupata vibarua na kuomba msaada wa chakula na hela.
Udhalilishaji...
Nimefuatilia Msiba wa huyu Jamaa, Mtangazaji wa Clouds aliyetutoka juzi na kuagwa leo Leaders Club, Leo ndio nimewajua wabongo wanaojiita watu maarufu, yaani kichefuchefu kuliko kichefuchefu cha Waja wazito.
Kila anayekuja anataka watu waache kulia ili wamtazame yeye kwanza , yaani wanajitanua...
Mtu hadi anapofikia kuitwa mmhamiaji haramu tena kwa wale wanavyoonekana hawana pesa ya kumlipa mtu awasafirishe kwa V8, Hii ni issue huenda ipo nyuma ya mtu fulani, either watu hawa wanapelekwa kufanya kazi mahala, kiwanda, shamba au chochote, coz hawa kujilipia huu usafiri mtu arisk gari na...
The history of population counts in Tanzania dates back to 1910. The first modern census was conducted in 1958. After the union of Tanganyika and Zanzibar in 1964, other censuses were conducted in 1967, 1978, 1988, 2002 and 2012. Since 1967, the country has conducted decennial Population and...
Kuna shule nyingi zime simama shule kama
Tusiime
Zhabika
St Ane Maria
Fortune
Sahara
Abc school
FOUNTAIN GATE ACADEMY
GREENHILL PRIMARY SCHOOL
MAJMAAL BAHRAIN PRIMARY
STMAXIMILIAN PRIMARY SCHOOL - PS0202113
Ziko fire kwanini hawa Ask school wasumbue hivi??
Tumezoea awa mabwana kupost mauzo ya ticket yalipofikia kwenye page zao na mitandao ya kijamii uku wakionyesha sold out za kutosha Kila jukwaa, Sasa nashanga safari hii wamekuwa Kama wamepigwa na shot ya umeme wameganda Kama barafu.
Hii sio kawaida yao kabisa mechi ni kesho lakini akuna post...
Ni vurugu tupu! Angalia msg zinazotumwa kwenye akaunti za waombaji.
1. Ada ya University 1.5M, unapata 200,000 Tsg, 230,000 (walio wengi)
2. Akaunti sasa zinasoma Applicants profile is NOT SEEN! Sijui imefutika saa ngapi, nani kaifuta.
3. Congratulations your application is successful...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.