Kumbe watu mnafaidi namna hii

Kumbe watu mnafaidi namna hii

na likes zilizopo huku hazina kazi
huenda ndio maana jukwaa linakosa amsha amsha ila sio kesi taratibu tutafanya mabadiliko ili iwe modern social network watu wajiajiri na kupata kipato ili kuunga mkono bidii za Mh Rais
 
huenda ndio maana jukwaa linakosa amsha amsha ila sio kesi taratibu tutafanya mabadiliko ili iwe modern social network watu wajiajiri na kupata kipato ili kuunga mkono bidii za Mh Rais
Huku ukileta habari za kumshukuru rais UTANISHUKURU
 
Huku uko huru kutoa mawazo kufungiwa ni ngumu japo naona siku hiz uhuru umepungua
Wakati wa kujiunga nimeambiwa kabisa kuwa Kila maoni yangu yatahaririwa kabla ya kwenda kwa uma (nadhani ni wazo zuri)
 
Of course nilianza kama kusoma tu Kisha nikaona naweza ku register ndio nikajiunga tafadhari nipokee unitembeze mitaa ya humu nisije kutapeliwa
Sawa mgeni, karibu sana JF huku hatuombi kufollow na kufollow back, huku mtu ana kufollow mwenyewe😅😅
 
Back
Top Bottom