majoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 2,706
- 5,111
Mbona unanigawa tu kama njugu....... wewe hunitaki au....😛😛😛😛😛😛😛
Nakutaka tatizo niko nje ya nchi 😀.Mbona unanigawa tu kama njugu....... wewe hunitaki au....😛😛😛😛😛😛😛
JF ni Hatutiki 2025. NoRNoEBaada ya Twitter X kutopatikana nikaona nitafute jukwaa la kutuliza akili
Nimegundua JF Inafaa kuliko Insta
Nipokeeni wapwa
Huo huzi usipo usoma hainogi jf tafta na kumbuInategemeana yuko jukwaa gani ila binafsi nimeona ni nzuri hata bando halikimbii sana Leo napita na nyuzi mbalimbali nimeona Moja inaitwa "kimasihara"
Huyu mkongwe mzoefu kabisa.Huyu akibanwa vizuri atataja ID yake ya mwanzo.
Hilo limepita.Nitumie nauli nije 😀 😀 😀 usisahau ya kutolea, ya kula njiani, na ya kuacha nyumbani, na ya kusukia nywele za safari na kijora cha kupandia ndege pia kisanduku chenye matairi na kibegi chake juu😀 yaani hii safari itakuwa tamu sana. Kuna kile kimto cha kuweka shingoni wakati wa safari. visendo vya manyoya na visoksi vyeke njiwa...
Asante braza watu8 japo Sasa natumia tumia vpn kwenda X ila jf for everKaribu sana JamiiForums...