Chick_tz
JF-Expert Member
- Mar 2, 2025
- 2,365
- 3,066
Mgeni anajua hadi ku tag watuKweli wewe mgeni mwenyeji
Mgeni anajua hadi ku tag watuKweli wewe mgeni mwenyeji
Siyo Mimi mpenzi, niamini bana!Samahani shemeji ndege, kumbe siyo wewe😁😁
Mimi pia nashangaa, maana nilivyokuwa mgeni kutag kulinishinda sanaMgeni anajua hadi ku tag watu
Haya kama kweli ndegeSiyo Mimi mpenzi, niamini bana!
Aah hapana majukwaa kama hayo Twitter nilikuwa nayaepuka sana mi jukwaa pendwa litakuwa lile la biashara na michezoKaribu sana
Kuna Jukwaa la Wakubwa huko ni balaa ila ni la siri sana
Vipi nikupe access ?
Sio mbaya maisha ya mitandao ni elimu tunajifunza Kila sikuMim huku nilikaa miez miwil bila kutag
Kama unaona X haipatikani basi tushaujua upeo wako.Baada ya Twitter X kutopatikana nikaona nitafute jukwaa la kutuliza akili
Nimegundua JF Inafaa kuliko Insta
Nipokeeni wapwa
Dah 😥Haya kama kweli ndege
Hahaha au sio!?Kama unaona X haipatikani basi tushaujua upeo wako.
Ni mdogo kuliko Punje ya Ulezi
Mgeni vipi😂😂Dah 😥
Hahahah 😂, huyu binti amashaweka akaunti yake tena kwenye simu yako.Mbona mnapendana kwenye sim yangu!?
Mkuu inamaana kule X hukuwahi kupita kwa mkunaji mpemba wala rukia mtamu japo kidogo tu kuchungulia? 🤣Aah hapana majukwaa kama hayo Twitter nilikuwa nayaepuka sana mi jukwaa pendwa litakuwa lile la biashara na michezo
Mara Chache nitapita jukwaa la mahusiano nione vijana wanavyolia
Naona uko kwenye dimbwi la mahaba na mtoto wa sayuni mmelowanaHahahah 😂, huyu binti amashaweka akaunti yake tena kwenye simu yako.
Ama kwa hakika mapenzi ni nyoso.
Wale hawana maana Kila clip inayovuja wanashare dah ilikuwa inakuwa ngumu sana ila kwa Imani nilikuwa navukaMkuu inamaana kule X hukuwahi kupita kwa mkunaji mpemba wala rukia mtamu japo kidogo tu kuchungulia? 🤣
Oyah tajiri follow back master si unaona nimeshafollowNimemuona jana huyu nilipoona anawaambia Moderators 👇
View attachment 3358927
Nikakimbia chapu kucheki ID ya ndugu yangu Poor Brain pengine imefungiwa.