FirstLady1
JF-Expert Member
- Jul 29, 2009
- 16,792
- 5,375
mmmh jamani hii hadithi ni nzuri sana Mwanakijiji hongera jinsi navyoendelea kuisoma napata shauku ya kuendelea na kuendelea
Swali ambalo ni tete kwangu ..huyu waziri alimkosea nini mwanamama mpaka ashindwe kumsamehe?
hapo tu ndio nasikitika ..hivi mzee akiamua kujitafutia kadada poa na kuendelea kivyake mkewe atalalamika pale atakapoona mmewe hamsumbui tena kutaka unyumba??
Swali ambalo ni tete kwangu ..huyu waziri alimkosea nini mwanamama mpaka ashindwe kumsamehe?
hapo tu ndio nasikitika ..hivi mzee akiamua kujitafutia kadada poa na kuendelea kivyake mkewe atalalamika pale atakapoona mmewe hamsumbui tena kutaka unyumba??