Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,476
- 39,995
- Thread starter
- #41
aaah!!!!!!!! hadithi taaaaaamu kama movie
well.. then u go get ur pop corn girl!
aaah!!!!!!!! hadithi taaaaaamu kama movie
MM mungu akujalie maisha; hadithi zako ni mojawapo ya nyenzo za kuhifadhi lugha yetu maridhawa! Endelea kutupa uhondo!
imeisha au bado inaendelea maana jinsi nilivyo na mambo mengi imebidi nirudie kidogo ya jana kuji-update ndio nieendelee na chapter 2, ufanya kama kwenye hadithi za magezetini kuna kuwa na mrejesho kidogo ili msomaji akumbuke chapter zilizopita
Mwanakijiji wewe ni kiboko!! Haya sasa tunatiana matamanio na majaribu.
Yaani hapa nimekutamani na nimeshajiweka mimi ndiye Clementina na wewe ndio mjamaika - patamu hapo.
Hapa sasa NN atatoka akilini Lol!!!
toba yarabi! sasa NN ndiyo mjamaica hasa nasikia aliishi pale Kingston...
Mwanakijiji wewe ni kiboko!! Haya sasa tunatiana matamanio na majaribu.
Yaani hapa nimekutamani na nimeshajiweka mimi ndiye Clementina na wewe ndio mjamaika - patamu hapo.
Hapa sasa NN atatoka akilini Lol!!!
Aaaah sasa Mwanakijiji wewe ndio mambo gani haya bana...yaani unanipeperushia ndege wangu hivi hivi. Wewe hufai kabisa na haya mashairi yako na hizi hadithi zako. Come on man this is not fair at all.....
NN.. usiwe na tatizo ndio nakupigia debe kichizi Da' Thumuni amekudondokea siku nyingi alikuwa anashindwa kukuambia tu sasa kajilengesha mwenyewe wewe unasukuma tu kama kupulizia kichungi cha sigara. Ukishindwa usinilalamikie.
Unajua nini...sasa nimeanza kukumbuka. Kuna siku moja (imekuwa kitambo kidogo) uliniambia kuna mtu somewhere across the pond (?) alikuwa ananiulizia lakini hukusema ni nani. Nahisi ulikuwa unamzungumzia Bi.50.....
jtano asubuhi ndio hii nimejilawa mapema ili nione kama kuna chochote ...moyo umepoa baada ya kukuta nil
Please mwanakijiji tuwekee tuburudike
itaendelea baadaye leo.. kidogo imenifanya niwe emotional.. nimeshindwa kuendelea.... inabidi nipunguze makali ya mambo fulani; if you know what I mean.
usipunguze we ongeza tu mambo yaendelee kunoga
Thanks Mwanakijiji