~**~ kumbatio la mwenye makosa ~**~

~**~ kumbatio la mwenye makosa ~**~

Mwnakijiji tafadhali niko chini ya miguu yako uendeleze kisa hiki hiyo keshokutwa maana kimeninogea tayari.............................nakuaminia


mmh.. haya sasa majaribu!!!
 
Monday is here... na sehemu ya kwanza imefika.. kazi kwenu! Enjoy..
 
sorry links zote za mfululizo ziko kwenye posti ya kwanza.. nitakuwa na update kwenye posti ya kwanza tu.
 
Tunashukuru kwa kutimiza ahadi yako.Ngoja niisome kwa kina..Are we aloud kucomment hii hadithi au ndio unasoma tu halafu unayabeba kama yalivyo?
 
Ok,nitarudi tena..Mbona dedication ya hadithi yako umewalenga watu wachache tu? umesema kwa Kwa heshima ya:
Wale wote ambao wamejikuta wanapenda tena
...Na wale waliokata tamaa ya kupenda tena je huoni kama hadithi hii huenda ingewapa moyo wa kupenda tena?
 
Ok,nitarudi tena..Mbona dedication ya hadithi yako umewalenga watu wachache tu? umesema kwa Kwa heshima ya:
Wale wote ambao wamejikuta wanapenda tena
...Na wale waliokata tamaa ya kupenda tena je huoni kama hadithi hii huenda ingewapa moyo wa kupenda tena?

nadhani itawapa tu na watajikuta kwenye hilo kundi vile vile.
 
Interesting story....
Tutahitaji several chapters kabla ya kuweza kutoa michango meaningful.
Hongera Mkuu kwa kupata ujasiri wa kuandika... wengine ni ama tuko wavivu..tunaanza vitu hatumalizi au tuko waoga kushirikisha jamii katika kujua yale tuyajuayo au kuyafikiria vichwani mwetu.
 
MM mungu akujalie maisha; hadithi zako ni mojawapo ya nyenzo za kuhifadhi lugha yetu maridhawa! Endelea kutupa uhondo!
 
imeisha au bado inaendelea maana jinsi nilivyo na mambo mengi imebidi nirudie kidogo ya jana kuji-update ndio nieendelee na chapter 2, ufanya kama kwenye hadithi za magezetini kuna kuwa na mrejesho kidogo ili msomaji akumbuke chapter zilizopita
 
toa maoni yako unavyojisikia..

Mwanakijiji wewe ni kiboko!! Haya sasa tunatiana matamanio na majaribu.
Yaani hapa nimekutamani na nimeshajiweka mimi ndiye Clementina na wewe ndio mjamaika - patamu hapo.
Hapa sasa NN atatoka akilini Lol!!!
 
Back
Top Bottom