Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 34,095
- 43,307
- Thread starter
- #81
Nilitaka niweke sehemu ya nne leo.. lakini nimegundua kuna wasomaji wa pole pole wengi. So.. nitaweka hadi mwisho wake muda si mrefu.
Mwanakijiji shikamoo...sehemu ya nne lini thatha...............?
Kama kuna movie mie naomba kucheza kama PS wa Waziri Mkubwa ...au H/Girl wa waziri
Balatanda yeye atakuwa yule mzee anayemsindikiza mama waziri kila anakoenda...
hizo sehemu mbili zinanifaa sana..
Nilitaka niweke sehemu ya nne leo.. lakini nimegundua kuna wasomaji wa pole pole wengi. So.. nitaweka hadi mwisho wake muda si mrefu.
Nilitaka niweke sehemu ya nne leo.. lakini nimegundua kuna wasomaji wa pole pole wengi. So.. nitaweka hadi mwisho wake muda si mrefu.
Mwanakijiji...............Safi sana Nkwingwa.....Nimeipenda sana hii hadithi,imekuwa nzuri hata kabla haijamalizika aisee.....Itabidi tuandae filamu sasa.....Nkwingwa NN awe Mjamaika Freddy 'Rastafari' na Bi 50 Cent awe Clementina a.k.a Mama Renata........Halafu kama vp wewe mwenyewe ndo uwe mheshimiwa sana WAZIRI hahaaaaaaaaaaa........unaonaje???...........Zaidi hongera sana kwa ubunifu huu na asante kwa kutumia muda wako kutuburudisha......Hakika wajua 'kuichezea' lugha yetu adhimu ya Kiswahili......Kudos
MM...lunch break huwa naisubiri ili nijisomee sasa leo...:rolleyez:
msiwe na shaka.. kisa kitaendelea.. tuwangoje wenzetu wasoma pole pole..
Mnaosoma pole pole.. changamkeni baaasii!! duh.. mnasoma mstari mmoja halafu mnakunyaw maji?
Niwawekee sasa hivi nadhani hao wengine watakuja mbele ya safari?
Asante sana Mwankijiji..........Uzidi kubarikiwa tuu