3. Kufananisha kitu kimoja na chengine mno kwenye hadithi
sijui ndo inaitwaje kwa kiswahili ........lakini mfano umesema something like 'akitizama paja langu lililonona kama punda milia wa serengeti' au 'kumsimamia mbele bila nguo sawa na panya kusimama mbele ya paka na kumshikia kiuono' na kadhalika na kadhalika.
Unapokuwa na hizi nyingi kwanza moja unampunguzia msomaji wako uhuru wa kufikiri
pili nafikiri pia zinamtoa msomaji kutoka hadithi yenyewe...............maana do u want us to think of the ugomvi baina ya hawa wawili au about panya kashika kiuono!