Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 34,097
- 43,309
- Thread starter
- #221
MKJJ,
Hadithi hii utakapoimaliza...itisha jopo la critics humu humu JF wafanye book review... tutapata mambo mazuri sana ya kusaidia maishani na hata kwa waandishi watakaopata inspiration kutoka kwako.
Ajabu mie tofauti na wengine wasiotaka hadithi iishe..natamani iishe ulete utamu mwingine.
asante tausi kisa kimeisha niko nakifanyia editing kidogo na kuweka mafuta mafuta, chumvi, ndimu na mdalasini... hata hivyo lazima nitoe onyo:
SEHEMU YA MWISHO - USISOME MAHALI AMBAPO UNAWEZA KUJIKUTA UNAPATA NA MFADHAIKO AU KARIBU NA MTU AMBAYE KATIKA MAZINGIRA MENGINE USINGEJISIKIA KUMDONDOKEA...
So stay tuned...