~**~ kumbatio la mwenye makosa ~**~

~**~ kumbatio la mwenye makosa ~**~

Mkuu utatufukuzisha kazi namna hii, wengine tuko makazini alafu unafanya hadithi karibu na kweli.....kufuli zetu wengine kufunguka rahisi...
 
Mkuu utatufukuzisha kazi namna hii, wengine tuko makazini alafu unafanya hadithi karibu na kweli.....kufuli zetu wengine kufunguka rahisi...

hahaha inaonekana hukusoma onyo la awali... mweh!!
 
Mwanakijiji kitabu cha uso kwa uso na kamanda kitaanza kuwa hewani lini tukupe support mtu wetu...
 
Nikushukuru kwa hadithi yako yenye kufunza mambo mengi lakini MMKJ nikuulize ina maana Tina aliendelea na Mjamaika au ndo alisitisha au ndo inakuwaje?? Au ndo kutuacha kwenye suspense wasomaji tuhitimishe tunavyofikiri???
 
Nikushukuru kwa hadithi yako yenye kufunza mambo mengi lakini MMKJ nikuulize ina maana Tina aliendelea na Mjamaika au ndo alisitisha au ndo inakuwaje?? Au ndo kutuacha kwenye suspense wasomaji tuhitimishe tunavyofikiri???


well.. there is another story to tell eh.. a sad one indeed...
 
Kama umefuatilia vizuri utaona italiki zinatumika humu aidha kuashiria mawazo ya kile ambacho anakifikiria kimoyomoyo au kitu anachokisema akiwa na maana zaidi ya kinachotamkwa.


Asante sana.

Got u.........but nafikiri ungeacha italic ikabeba maana moja tu ingekuwa bora zaidi kiuandishi na wasomaji wangefahamu zaidi. Nimezowea kuona Italic inatumika kuonyesha Inner most feelings or thoughts. Sasa uki mix up na maana nyengine kidogo unawapoteza wasomaji 'novels wazoefu'. unawapa tabu kufuatilia hadithi moja kwa moja

samahani kama nitakuwa nimekukwaza
 
Asante kwa hadithi nzuri, tunasubiri kisa cha Uso kwa Uso na Kamanda!
 
hizi hadithi za mwanakijiji unaweza kujikuta unabaka secretary lol maana wakati nasoma kameingia kasecretary na kimini mpk mate yamenitoka na nikiunganisha na hii hadithi ndio usiseme
 
MJ1 wewe ni mchokozi sana ..umeota ulikuwa na Mjamaica au MKJJ?
haahhahhhhhhh ah we acha tu FL1 maana nahisi ningekuwa na mtu ningembaka lol............. ah juu ya yupi Mjamaika au Mwakijiji mh kwa kweli nafikiri nilikuwa na Waziri..... maana mjamaika ameshanitisha na maisha yake ninamdoubt na Mwanakijiji ni shemeji yangu sasa namheshimu. So nilikuwa na kile ambacho Clementina alikiona cha kazi gani...................kisa kilikosea lol mie nae!!
 
hizi hadithi za mwanakijiji unaweza kujikuta unabaka secretary lol maana wakati nasoma kameingia kasecretary na kimini mpk mate yamenitoka na nikiunganisha na hii hadithi ndio usiseme

hahaha sometimez inabidi utoke nje kwanza unaweza kujikuta unamwita boss ..kipele kinawasha wapi hapa na wapi huku .................
Boss anabakia kushangaa tu.:confused2:
 
haahhahhhhhhh ah we acha tu FL1 maana nahisi ningekuwa na mtu ningembaka lol............. ah juu ya yupi Mjamaika au Mwakijiji mh kwa kweli nafikiri nilikuwa na Waziri..... maana mjamaika ameshanitisha na maisha yake ninamdoubt na Mwanakijiji ni shemeji yangu sasa namheshimu. So nilikuwa na kile ambacho Clementina alikiona cha kazi gani...................kisa kilikosea lol mie nae!!

Na vile huyu waziri alikuwa anapenda kuitwa Boss .. ukiiita boss natafuta mafaili ya EPA ,kwani Boss hujayaona mezani kwako ,Boss nakuja kukusaidia kuyatafuta kwisha habari yake ...
 
Got u.........but nafikiri ungeacha italic ikabeba maana moja tu ingekuwa bora zaidi kiuandishi na wasomaji wangefahamu zaidi. Nimezowea kuona Italic inatumika kuonyesha Inner most feelings or thoughts. Sasa uki mix up na maana nyengine kidogo unawapoteza wasomaji 'novels wazoefu'. unawapa tabu kufuatilia hadithi moja kwa moja

samahani kama nitakuwa nimekukwaza

itabidi ujitahidi sana kunikwaza.. worry not. Na point taken. Thanks.
 
Ni hadithi nzuri,mtiririko wako wa maneno na visa unaonyesha ni jinsi gani ulivyo mtunzi mahiri,mara nyingi sisi watu tulio addicted na novels tuna tend kutamani kuishi maisha yaliyopo mle,au kuiga character za mtu fulani ambaye mwandishi amemuelezea kwa ustadi mkubwa.So kutokana na hilo naendelea kutamani kama ungetunga hadithi zenye visa vya kisiasa,kijangili,kiuzalendo(i know ur good on that),Ili pia utujenge kwenye uzalendo,kama wakina Robert Ludrum,Ben Mtobwa,Issa tuwa,Msiba e.t.c.
 
Back
Top Bottom