~**~ kumbatio la mwenye makosa ~**~

~**~ kumbatio la mwenye makosa ~**~

looo salalee!!
aksante sana,nami nangoja ilo changizo la kitabu utachotoa?
ushakitoa?maana ulisema baada ya majuma 2
 
Bado kidogo, niko tumeanza mazungumzo na kampuni moja ya uchapishaji ili kuewza kuchapa baadhi ya hadithi na kazi zangu nyingine za kisanii.. Ila ya "Kamanda" iko njiani.
 
NI nzuri sana na inavutia! Hongera sana! Nimekukubali na una kipaji!
Kwa wote wapenda kusoma,najua wataifurahia! nilipotea kwa muda,nimerudi na kukumbana nayo,kwa kweli nimeshindwa kuacha kuisoma hadi nilipoimaliza. Na umeimaliza bado nina hamu ya kuendelea kuisoma!
KEEP IT UP!
 
Ni nini dhamira ya mwandishi? hahaha I am kidding Mh you have a strange way of imagining. The asali thing was a bit weird to me. The shaving thing was lets just say interesting.I will definitely download the kamanda story.
 
Sikujua hii mada imeangaliwa mara zote hizi. Ni matumaini yangu nyongeza yake itakapotoka hamtaka tamaa.
 
mkuu mwanakijiji usikate tamaa, chapakazi kijana. Unaenda vyema!
 
mkuu mwanakijiji usikate tamaa, chapakazi kijana. Unaenda vyema!
 
Mungu akutie nguvu usije poteza mood aisee nikitu matata ...barikiwa mwana kijiji wetu.
 
Mzee Mwanakijiji nakuzimia sana i cant wait to read you book, itakuwa na pages ngapi? kinaishia vizuri ? i love happy ending sio kama kwenye movie ya salt unaachwa umetoa maco pima
 
Mzee Mwanakijiji nakuzimia sana i cant wait to read you book, itakuwa na pages ngapi? kinaishia vizuri ? i love happy ending sio kama kwenye movie ya salt unaachwa umetoa maco pima

Najaribu kufikiria kama mwisho uwe mzuri hadi mtua aseme "aaaw" au uwe wa kumfanya atoke machozi. Napenda huwa wa kumfanya mtu alie.. sijui kwanini..
 
Mzee shikamoo,
Sijawahi kusoma hadithi yako hata moja wala sikuwahi kudhani kama ungeweza kuandika hadithi, lakini nimesoma kidogo tu na nimekubali, yaani inaonekana itakuwa kiboko. ila nimeona makosa kadhaa ya spelling, halafu mbona umeitaja CCM hudhani kama hii hapo mwanzo, haiwezi kufanya hadithi kuonekana ya kiitikadi zaidi? otherwise natarajia uhondo.
 
Once More Mkuu MM...nitapungukiwa nini nikiabudu na kuenzi fikra zako?...napenda namna unavyoshawishi kifikra,napenda namna unavyolazimisha watu kufikiri na kujenga picha za hisi anapopitia machapisho yako...na itukukuzwe siku uliyozaliwa na fikra zako zidumu milele bila kuathiri lengo la Mwenyezi Mungu kukuweka hai!
 
Ts 2:19 AM, ndio namaliza kusoma hizi episodes tangu nianze sa 9:45 PM..
Kiukweli nimetekwa na kufurahia hii kazi, nimekuja kushtuka mwishoni kuwa hii ni post ya toka 2010 karibu mwaka 1 sasa, Mkuu Mwanakijiji may Lord God Increase U.

Najaribu kufikiria kama mwisho uwe mzuri hadi mtua aseme "aaaw" au uwe wa kumfanya atoke machozi. Napenda huwa wa kumfanya mtu alie.. sijui kwanini..
 
Ts 2:19 AM, ndio namaliza kusoma hizi episodes tangu nianze sa 9:45 PM..
Kiukweli nimetekwa na kufurahia hii kazi, nimekuja kushtuka mwishoni kuwa hii ni post ya toka 2010 karibu mwaka 1 sasa, Mkuu Mwanakijiji may Lord God Increase U.


Wow.. simulizi hili lilianzia siku ya Muungano 2010!! so leo ni miaka miwili tangu kumbatio hili liliopanzia
 
Back
Top Bottom