~**~ kumbatio la mwenye makosa ~**~

~**~ kumbatio la mwenye makosa ~**~

Shigongo once again has been put on notice!!
Mwanakijiji ina maana Eric angeweza kuiandika upya kwa kiingereza ba kuipa jina jiya? Mkuu umegusa matatizo ya ndoa nyingi! Miezi saba baba aliamua kubaka......mmhhhh
 
Hivi Mwanakijiji hapo ndo mwisho?
Kwa nini hutaki kutupa burudani yetu..pls tubandikie sehemu ya sita.
 
mh! jamani we mzee si umalize basi hii kazi uloanzisha wengine twakosa njia ya kupita tumekwama hapahapa tu!
 
Hivi Mwanakijiji hapo ndo mwisho?
Kwa nini hutaki kutupa burudani yetu..pls tubandikie sehemu ya sita.

sehemu ya sita inakuja FL1.. dakika chache kuanzia sasa.. hakikisha hukosi kuangalia posti ile ya kwanza usije kuikosa..!! enjoy!
 
Hongera Mwanakijiji kwa utunzi
Kumbe Mheshimiwa alimsaliti Clementina ..Clementina nae baada ya kupata mshituko na mapezni yote Kuondoka moyoni i sasa anataka kufanya Revenge ?
Natamani kuujua mwisho wa hii hadithi..

Na hii uso kwa uso na kamanda Tibaigana au??:A S-fire1:
 
nimeisoma hii, je ndio mwisho? mbona bado cjaona kilichofanyika jmos?
 
Msiwatibulie ambao hawajasoma... mwisho mtadokeza kuwa stelingi kauawa!
 
Mhhhh Mh waziri angejifanya ni Shaggy....it wasn't me!
 
Nimedownload ili nikaisomee nyumbani na shemejio!.......................

NAONA MkUU UNAJIANDAA KWENDA KUVUNJA NDOA YAKO, NADHANI HAPO MKIKOROFISHANA KIDOGO TU WEWE UTAKUWA UNAMUWAZA TINA NA MKEO mJAMAIKA
 
Back
Top Bottom