~**~ kumbatio la mwenye makosa ~**~

~**~ kumbatio la mwenye makosa ~**~

nimeisoma hii, je ndio mwisho? mbona bado cjaona kilichofanyika jmos?

Mama bana... wewe unasubirie sehemu moja tu.... Unajuaje inaweza isitokee .. utajuaje kama Mjamaika labda amepata ajali ya gari au kakumbwa na masahibu mengine!!!
 
Hadithi inaendelea kunoga, ahsante sana Mwanakijiji lakini chonde chonde isiishie hapo tafadhali.
hadithi hii ni tamu sana
Je inatufundish nini?

Inatufundisha kwamba tusifanye ngono zembe na watumishi wa ndani!

Pia hadithi hii inatufundisha maisha halisi ya kwenye ndoa, usione watu wanacheka mitaani lakini wakiingia majumbani moto unawaka.
Ndio maana nyumba zinajengwa na mapaa, madirisha na milango kwa maana mambo ya ndani yabakie humohumo ndani msiwape watu wengine faida. Na wanaume (samahani kama nitawakwaza) huwa hawatosheki hata uwape nini, mwenye katabia kake kakupenda kufunua sketi haachi hata awe mwanamke mzuri kama malaika.
Na sie wanawake, wasichana wa kazi tuwe tunawapa uhuru angalau weekend wanatoka kwenda kusalimia jamaa na yeye aweze kupunguza haja zake ama sivyo mtakuta wote mnamuwindia mwanamme huyo aliyepo ndani. Lakini yakikuzidi mmmh kipoozeo muhimu au ndio uombe talaka la sivyo leo BP juu mara sukari mara oooh stroke na unamucha mwenzio anapeta.
Tujipe hongera sisi wanawake huwa tunavumilia sana kwa hawa viumbe na mungu ametupa moyo wa kusamehe lakini tunateseka kama binadamu kwa kutokuwa na uwezo wa kusahau. Inshallah
 
Hadithi inaendelea kunoga, ahsante sana Mwanakijiji lakini chonde chonde isiishie hapo tafadhali.




Pia hadithi hii inatufundisha maisha halisi ya kwenye ndoa, usione watu wanacheka mitaani lakini wakiingia majumbani moto unawaka.
Ndio maana nyumba zinajengwa na mapaa, madirisha na milango kwa maana mambo ya ndani yabakie humohumo ndani msiwape watu wengine faida. Na wanaume (samahani kama nitawakwaza) huwa hawatosheki hata uwape nini, mwenye katabia kake kakupenda kufunua sketi haachi hata awe mwanamke mzuri kama malaika.
Na sie wanawake, wasichana wa kazi tuwe tunawapa uhuru angalau weekend wanatoka kwenda kusalimia jamaa na yeye aweze kupunguza haja zake ama sivyo mtakuta wote mnamuwindia mwanamme huyo aliyepo ndani. Lakini yakikuzidi mmmh kipoozeo muhimu au ndio uombe talaka la sivyo leo BP juu mara sukari mara oooh stroke na unamucha mwenzio anapeta.
Tujipe hongera sisi wanawake huwa tunavumilia sana kwa hawa viumbe na mungu ametupa moyo wa kusamehe lakini tunateseka kama binadamu kwa kutokuwa na uwezo wa kusahau. Inshallah

mbona na sisi tunavumilia sana tu.. kuzungukwa na majaribu kila kona ambayo ni sawa na manyanyaso ya kijinsia!
 
Mkjj,
Hadithi hii alikufundisha nani?
Usije kutumambia.." adisi hii alinifundisha mwalimu"!
 
sasa kama alinifundisha mwalimu nisitheme? Ila sikumbuki kwa kweli.. ila mwisho wa hadithi nadhani itabidi niseme tu!


Hadithi hii alimfundisha bibi
Mwanakijiji lete maneno please tuna hamu ya kuona kinachoendelea katika hadithi hii murua.
 
Hadithi hii alimfundisha bibi
Mwanakijiji lete maneno please tuna hamu ya kuona kinachoendelea katika hadithi hii murua.

Mwanakijiji anauma na kupulizia. Nilijua leo ataweka sehemu inayofuata kumbe bado....Dah!
 
Mwanakijiji anauma na kupulizia. Nilijua leo ataweka sehemu inayofuata kumbe bado....Dah!


Hivi Masaki huwa unaprint unasoma? au unasomea hapa ubaoni?? nimeshangaa kumbe na wewe ni mpenzi wa hadithi.well done mwanakijiji
 
Hivi Masaki huwa unaprint unasoma? au unasomea hapa ubaoni?? nimeshangaa kumbe na wewe ni mpenzi wa hadithi.well done mwanakijiji

Huwa nasomea hapo hapo ubaoni! Ku print kunahatarisha mazingira kwa kuwa karatasi zinatokana na miti.
 
Tunashukuru mkuu kuendelea kutupa vituuz. Tunaisubiri kwa hamu kubwa hiyo siku. Kila la heri.
 
MMJ.. dah..wewe ni kiboko! jana usiku imebidi nipitilize masaa ya kulala kusoma recent two chapters..namejitahidi kufuatulia story yako tangu mwanzo kabisa..nangojea j'mosi ya mjamaika!
 
Ndio niko katika kupolish polish kwani mwisho lazima uwe kama wa kisa cha umsolopagas!
 
MKJJ,
Hadithi hii utakapoimaliza...itisha jopo la critics humu humu JF wafanye book review... tutapata mambo mazuri sana ya kusaidia maishani na hata kwa waandishi watakaopata inspiration kutoka kwako.

Ajabu mie tofauti na wengine wasiotaka hadithi iishe..natamani iishe ulete utamu mwingine.
 
Back
Top Bottom