Castle_Lite
JF-Expert Member
- Sep 10, 2016
- 4,508
- 9,988
Ni sawa.Haina shida mkuu kila la kheri but I said what I said
You’ll never catch me living in Goba,Salasala,Mbezi,Madale,kimara and the likes. I’ma City Boy.
Zaman hata mm nilikuwa nasema kama ww.
Ila kwa mentality uliyonayo inabidi utafute hela sana. Na uweze kumaintain kuwa na hela mara kwa mara.
Na pia ukichelewa sana. Hata hizo sehemu hutapata kiwanja kizuri.
Maana kwa sasa bila mill 50+ hupati kiwanja kizur hayo maeneo uliyoyataja.