Kulipa kodi kubwa sio sifa

Kulipa kodi kubwa sio sifa

Nimekulia Majumba sita alafu Mwenge na Sinza.
Washua wakahamia madale 2005 .

Nikawa nawashangaa hata kama wamejenga. Ila kwanini wasingejenga mjini?.

Mm nimeanzia Maisha Kinondoni na Kijitonyama. Na nikawa na mentality kuwa mjini sihami ngo.

Ila mbeleni akili za kikubwa zikanijia.
Niko Goba na maisha naona yanasonga.

kukaa mjini na kulipa Kodi kubwa Sio ujanja. Kwanza hakuna utulivu.

Kama uko age flan ya kujipanga (25+) bora ukae mbali kidogo na mji. Kwa gharama nafuu kidogo ili ikupe mazoea na uone kawaida kujenga na kuwa na kwako pembezon mwa mji.

Ukiwa mentality ya kukaa mjini. Utazeeka haujajenga.
Maana kupata mill 200+ kumvua mtu nyumba its a not a joke.
Nimekuelewa mkuu, tufanye mishe zako zipo town zile nauli za kla siku unazotumia ungekuwa umepanga town uoni kma ungekuwa unasave kiasi fulani
 
Nimekulia Majumba sita alafu Mwenge na Sinza.
Washua wakahamia madale 2005 .

Nikawa nawashangaa hata kama wamejenga. Ila kwanini wasingejenga mjini?.

Mm nimeanzia Maisha Kinondoni na Kijitonyama. Na nikawa na mentality kuwa mjini sihami ngo.

Ila mbeleni akili za kikubwa zikanijia.
Niko Goba na maisha naona yanasonga.

kukaa mjini na kulipa Kodi kubwa Sio ujanja. Kwanza hakuna utulivu.

Kama uko age flan ya kujipanga (25+) bora ukae mbali kidogo na mji. Kwa gharama nafuu kidogo ili ikupe mazoea na uone kawaida kujenga na kuwa na kwako pembezon mwa mji.

Ukiwa mentality ya kukaa mjini. Utazeeka haujajenga.
Maana kupata mill 200+ kumvua mtu nyumba its a not a joke.
Haina shida mkuu kila la kheri but I said what I said

You’ll never catch me living in Goba,Salasala,Mbezi,Madale,kimara and the likes. I’ma City Boy.
 
Maisha ni rahisi sana,Sijui kwanini watu wanataka kuyafanya yawe magumu
Wengine wamezaliwa kusumbukia vitu vya ulimwengu, japo ndio hvo kila mtu anakitu chake kinachompa furaha... naweza kukaa nyumba ya 45,000 na nikamiliko gari ya milion20, naweza kuvaa suruali ya 5000 na nikawa na simu ya 2 milion
 
kodi yangu ya pango ni asilimia 5 tu ya take home yangu.

Uko safe side sababu una fixed income, lakini unatakiwa uishi standard life hata kama income ni ndogo, adjust kidogo mpaka 10, kuna namna akili ita tune kuongeza income ku meet expenses zitakazokuwa zina arise ukiwa katika mazingira ya 10 au 15% ya hiyo take home.
 
Hellow wa JF.

Utasikia vijana wakisema mimi siwezi kukaa/kupanga chumba/nyumba chini ya 300,000 au 500,000 au 800,000 kwa mwezi. Hapo hapo siku za mbeleni anakuja kuzalisha/zalishwa watoto kwenye nyumba za watu hana kiwanja wala nyumba.

Naomba niwakumbushe hakuna tuzo utakuja kupewa ya kulipa kodi kubwa.
Watanzania wengi wametokea Kijiji hiki na wamesoma hapo, ndiyo Maana ni MAFALA
IMG_5021.jpeg
 
Nimekulia Majumba sita alafu Mwenge na Sinza.
Washua wakahamia madale 2005 .

Nikawa nawashangaa hata kama wamejenga. Ila kwanini wasingejenga mjini?.

Mm nimeanzia Maisha Kinondoni na Kijitonyama. Na nikawa na mentality kuwa mjini sihami ngo.

Ila mbeleni akili za kikubwa zikanijia.
Niko Goba na maisha naona yanasonga.

kukaa mjini na kulipa Kodi kubwa Sio ujanja. Kwanza hakuna utulivu.

Kama uko age flan ya kujipanga (25+) bora ukae mbali kidogo na mji. Kwa gharama nafuu kidogo ili ikupe mazoea na uone kawaida kujenga na kuwa na kwako pembezon mwa mji.

Ukiwa mentality ya kukaa mjini. Utazeeka haujajenga.
Maana kupata mill 200+ kumvua mtu nyumba its a not a joke.
Mkuu Vijana/watu wengi Tanzania wanakutu kwenye akili zao wanahitaji msasa mkali sana.

Kwabahati mbaya hakuna wakuwapiga msasa huo. So wacha wachache walio jitambua waendelee kula pesa za hawa watu wenye kutu vichwani mwao.
 
Hellow wa JF.

Utasikia vijana wakisema mimi siwezi kukaa/kupanga chumba/nyumba chini ya 300,000 au 500,000 au 800,000 kwa mwezi. Hapo hapo siku za mbeleni anakuja kuzalisha/zalishwa watoto kwenye nyumba za watu hana kiwanja wala nyumba.

Naomba niwakumbushe hakuna tuzo utakuja kupewa ya kulipa kodi kubwa.
Tangu nisome somo la saikolojia watu wa namna yoyote Huwa hawanisumbui hii Dunia hayo mambo yapo na Kuna zaidi ya hayo unaweza kuwasikiliza Kisha ukaendelea na majukumu yako hujui ujanja mwingi mbele kiza
 
Back
Top Bottom