Kulipa kodi kubwa sio sifa

Kulipa kodi kubwa sio sifa

fact only

JF-Expert Member
Joined
Sep 9, 2024
Posts
2,060
Reaction score
3,280
Hellow wa JF.

Utasikia vijana wakisema mimi siwezi kukaa/kupanga chumba/nyumba chini ya 300,000 au 500,000 au 800,000 kwa mwezi. Hapo hapo siku za mbeleni anakuja kuzalisha/zalishwa watoto kwenye nyumba za watu hana kiwanja wala nyumba.

Naomba niwakumbushe hakuna tuzo utakuja kupewa ya kulipa kodi kubwa.
 
Kuna ndugu yangu alijitutumua na kupanga nyumba ya 1M bahari beach. Nadhani alitaka kumaintain standard kwa sababu nyumbani kwao ni hukohuko.
Asee Madeni yalitaka kumuuwa kuanzia kazini hadi Madeni ya mtaani alikuja fukuzwa kwenye nyumba na hapo anadaiwa kodi ya miezi sita sasa hivi yupo juu ya mawe karudisha mpira kwa kipa.
Mimi siwezi kabisa kujitutumua kwenye vitu ambavyo sina uwezo navyo kufurahisha watu, kodi yangu ya pango ni asilimia 5 tu ya taje home yangu.
 
Kuna ndugu yangu alijitutumua na kupanga nyumba ya 1M bahari beach. Nadhani alitaka kumaintain standard kwa sababu nyumbani kwao ni hukohuko.
Asee Madeni yalitaka kumuuwa kuanzia kazini hadi Madeni ya mtaani alikuja fukuzwa kwenye nyumba na hapo anadaiwa kodi ya miezi sita sasa hivi yupo juu ya mawe karudisha mpira kwa kipa.
Mimi siwezi kabisa kujitutumua kwenye vitu ambavyo sina uwezo navyo kufurahisha watu, kodi yangu ya pango ni asilimia 5 tu ya taje home yangu.
Bora umejitambua mapema mkuu wewe kumiliki nyumba zako hapo mjini ni fasta sana .
 
Back
Top Bottom