Consigliere
Platinum Member
- Sep 9, 2010
- 12,792
- 27,004
Kukaa ghetto/nyumba/apartment ya 300,000 au 500,000 au 800,000 hiyo siyo issue at all. Cha kujiuliza gharama hizo ni asilimia ngapi ya kipato cha mlipaji? Je, yeye standard yake amejiwekea kulipa asilimia ngapi ya kipato chake kwa ajili ya rent?Hellow wa JF.
Utasikia vijana wakisema mimi siwezi kukaa/kupanga chumba/nyumba chini ya 300,000 au 500,000 au 800,000 kwa mwezi. Hapo hapo siku za mbeleni anakuja kuzalisha/zalishwa watoto kwenye nyumba za watu hana kiwanja wala nyumba.
Naomba niwakumbushe hakuna tuzo utakuja kupewa ya kulipa kodi kubwa.
Katika maisha tunapaswa kuwa na standards, sijui kama unaweza ukawa na 75” Tv halafu ukaenda nayo kupanga chumba cha 40,000. Sidhani kwa mazingira ya sasa utakuwa unafanya remotes work halafu ukae mazingira yenye vyumba vya 40,000.
Sidhani kama kwa mtu ambaye yeye burudani yake kubwa ni sehemu anayoishi, yaani mziki mzuri, home cinema, nyama choma, kumbuka hata kitanda starehe, sebule ni starehe, jiko ni burudani sidhani kama huyu utamkalisha nyumba ya shilingi laki tatu.
Kikubwa ni kuwahusia watu wawe na philosophy katika maisha na wasipende kuiga mitindo ya maisha kabla ya kuelewa wengine wanaishije.
Mimi naaweza nikaamua kuiinua hadhi yangu kimkakati. Nachukua digital nomad ya UAE or Spain ambayo ni cheap or ya Estonia ambayo ni just a day or two. Then nakuwa naishi huko wakati nina biashara zangu bongo. Kitendo tu cha kuwa na address hiyo tayari nakuwa naongeza uzito na trust kwenye mihamgaiko yangu na circle zangu.
Wajifunze kuuliza badala ya kuparamia, hii tabia ya kuparamia pasipo kunua unapelekea wengi kuishia kuparamiwa, na mtu akishaanza kuparamiwa hakuna namna itabidi tumuingize pale Dole primary