Ertugrul Bey
JF-Expert Member
- Aug 6, 2020
- 13,444
- 27,127
Huyo alizingua sana,na wapo watu wengi sana wanaumia kwa kutaka show off za kijingaKuna ndugu yangu alijitutumua na kupanga nyumba ya 1M bahari beach. Nadhani alitaka kumaintain standard kwa sababu nyumbani kwao ni hukohuko.
Asee Madeni yalitaka kumuuwa kuanzia kazini hadi Madeni ya mtaani alikuja fukuzwa kwenye nyumba na hapo anadaiwa kodi ya miezi sita sasa hivi yupo juu ya mawe karudisha mpira kwa kipa.
Mimi siwezi kabisa kujitutumua kwenye vitu ambavyo sina uwezo navyo kufurahisha watu, kodi yangu ya pango ni asilimia 5 tu ya taje home yangu.
Fanya jambo kwa uwezo wako,iwe kwa kila kitu sifa zitakupeleka pabaya sana