🤣🤣🤣Sio uoga Mkuu ni kutambua kipi unatakiwa kufanya.
Hata wanyama wanamakazi yao na familia zao.
Vijana hawawezi kukuelewa mkuu.Ndio kikubwa kila mmoja aishi kwa uwezo wake. Kipindi cha nyuma nilikurupuka kwenda kupanga nyumba ya gharama kidogo kulinganisha na kipato changu baada ya miezi sita ya kwanza kuisha pesa niliyonayo mkononi haitoshi nikaongea na mwenye nyumba nikaanza kulipa miezi mitatu asee ndani ya mwaka mzima sikufanya jambo lolote la maana kila nikigeuka kodi imefika nikawa kama nimekuja mjini kumfanyia mwenye nyumba kazi. Ikabidi nikimbie
Tena kina giza,hakuna mchango wa umemetunao kaa kwenye chumba cha afu kumi na tano tumepata cha kujitetea,, barikiwa sana mleta mada
I'm a city boy hata nusu ya kipato changu nikilipa kodi ya pango sina presha na ndio kitu napenda..kulala pazuri raha mdogo wangu..
Take home 500k anatakiwa kupanga nyumba ya mwezi sh ngap?Unaposema hivyo unakosea,kuna watu nawajua wanalipa kodi 10milion kwa mwezi na wanakaa kama wapo kwao
Ishu hapa kipato chako kipoje? Kuna watu hiyo hela ni ndogo sana kwao,kwahiyo usiwaone watu hawajui wanacho fanya
Kikubwa Hesabu hazidanganyi ukikosea mahala hesabu mwisho wa mwezi zitakwambia tu.Vijana hawawezi kukuelewa mkuu.
Pia huu ujinga na ulimbukeni wa vijana naona ni fursa kubwa wa kuwekeza nakuendelea kupiga pesa.
kabisaaa, mi huwa natumia zile tochi kubwa kama za sungusungu, naichaji mara moja kwa mwezi😄😄Tena kina giza,hakuna mchango wa umeme
FactIla wabongo bwana yaani mbongo akisha jichanga akajenga kinyumba cha vyumba 3 na sebule basi anawaona wote ambao hawajajenga hawana akili.
Mwenetu maisha sio magumu kiasi hicho kabisa,kula gwala kwanzakabisaaa, mi huwa natumia zile tochi kubwa kama za sungusungu, naichaji mara moja kwa mwezi😄😄
Mkuu naona haujaelewa issue sio kuwa na pesa.Unaposema hivyo unakosea,kuna watu nawajua wanalipa kodi 10milion kwa mwezi na wanakaa kama wapo kwao
Ishu hapa kipato chako kipoje? Kuna watu hiyo hela ni ndogo sana kwao,kwahiyo usiwaone watu hawajui wanacho fanya
Hapa usizidi 100k.Take home 500k anatakiwa kupanga nyumba ya mwezi sh ngap?
Maisha ni rahisi sana,Sijui kwanini watu wanataka kuyafanya yawe magumuDuniani sio kwetu na tunazaliana tu, mimi niko kwenye nyumba ya urithi nataka kuiboresha ndio nianze kuzaaana na kujaza nchi
sio magumu kwako familia😆😆,, mi nakula mihogo na maji hiyo gwala siitaki😜Mwenetu maisha sio magumu kiasi hicho kabisa,kula gwala kwanza