fact only
JF-Expert Member
- Sep 9, 2024
- 2,063
- 3,300
- Thread starter
- #121
😀 Waswahili watakupost na mitandaoni kwamba una njaa njaa.Akiba kwa wasiopenda kudhalilika wakipata dharura.
Sipendi kuomba omba, sipendi kumweleza mtu matatizo yangu ya kifedha…waswahili nyoko sana, hawatakusaidia watakutangaza
Hivyo hivyo kwenye kujenga aibu utaipata ukiwa mtu mzima mwenye familia alafu bado unakimbizana na mama wenye nyumba. Waswahili watakuonesha.