Tindo
JF-Expert Member
- Sep 28, 2011
- 59,009
- 103,394
Unauliza au unapigia jibu mstari?Hujitambui kijana huyu muuaji ni mwana Ccm? Kuwa wapinzani sio sababu ya kuweke chuki kwa Ccm.
Unauliza au unapigia jibu mstari?Hujitambui kijana huyu muuaji ni mwana Ccm? Kuwa wapinzani sio sababu ya kuweke chuki kwa Ccm.
CCM ni Chama Cha Magaidi, sasa ni dhahiri shairi! Hamza kathibitishaHuku sio kuchafuana au kupakana matope bali ni kukosa busara za kisiasa. Maana huwezi kusema kuwa ni Chadema yetu au Ccm yao itachafuka kwa upuuzi wa kutunga mitandaoni.
Hili ni tukio baya la kuterrorise maisha ya watu kama lingekuwa motivated na chama cha siasa asingekwenda mtuhumiwa mmoja pekee. Tungeona makundi ya wafuasi wa vyama vya siasa.
Tuache majungu ya kisiasa yasiyokuwa na tija kwa taifa letu.
Gaidi ni product ya CCMWhat is your point here?
Kuna moja jana nilimsoma mahali anadai Hamza alikua akipiga kelele 'Mbowe sio faidi mimi ndiye gaidi"Kada la Lumumba likiwa kazini kutetea chama chake! Nina uhakika, kama huyu Hamza angekuwa CDM basi ungeshiriki hapa kuinanga CDM na hata kumuhusisha Hamza na Mbowe!
Muuaji ni kada mwenzako wa CCMHujitambui kijana huyu muuaji ni mwana Ccm? Kuwa wapinzani sio sababu ya kuweke chuki kwa Ccm.
Ila ni busara kumsingizia Mbowe kuwa gaidi?Huku sio kuchafuana au kupakana matope bali ni kukosa busara za kisiasa. Maana huwezi kusema kuwa ni Chadema yetu au Ccm yao itachafuka kwa upuuzi wa kutunga mitandaoni.
Hili ni tukio baya la kuterrorise maisha ya watu kama lingekuwa motivated na chama cha siasa asingekwenda mtuhumiwa mmoja pekee. Tungeona makundi ya wafuasi wa vyama vya siasa.
Tuache majungu ya kisiasa yasiyokuwa na tija kwa taifa letu.
Siamini hilo!Huyu kwanza inaonekana ana motives zake nje ya siasa!Ingekuwa mambo ya siasa basi angewala vichwa hadi raia!Kuna moja jana nilimsoma mahali anadai Hamza alikua akipiga kelele 'Mbowe sio faidi mimi ndiye gaidi"
Wewe/nyie mkiacha majungu ya kisiasa na wale/wao wataacha.Sasa tuambie ushiriki wako uko wapi,kwenye kubambikia au kwenye kubambikiwa?Huku sio kuchafuana au kupakana matope bali ni kukosa busara za kisiasa. Maana huwezi kusema kuwa ni Chadema yetu au Ccm yao itachafuka kwa upuuzi wa kutunga mitandaoni.
Hili ni tukio baya la kuterrorise maisha ya watu kama lingekuwa motivated na chama cha siasa asingekwenda mtuhumiwa mmoja pekee. Tungeona makundi ya wafuasi wa vyama vya siasa.
Tuache majungu ya kisiasa yasiyokuwa na tija kwa taifa letu.
Mbona nyie CCM mnachafua Mbowe?Huku sio kuchafuana au kupakana matope bali ni kukosa busara za kisiasa. Maana huwezi kusema kuwa ni Chadema yetu au Ccm yao itachafuka kwa upuuzi wa kutunga mitandaoni.
Hili ni tukio baya la kuterrorise maisha ya watu kama lingekuwa motivated na chama cha siasa asingekwenda mtuhumiwa mmoja pekee. Tungeona makundi ya wafuasi wa vyama vya siasa.
Tuache majungu ya kisiasa yasiyokuwa na tija kwa taifa letu.
Yeye ugomvi wake ni police pekeeSiamini hilo!Huyu kwanza inaonekana ana motives zake nje ya siasa!Ingekuwa mambo ya siasa basi angewala vichwa hadi raia!
Sawa Kabisa unayosema.Huku sio kuchafuana au kupakana matope bali ni kukosa busara za kisiasa. Maana huwezi kusema kuwa ni Chadema yetu au Ccm yao itachafuka kwa upuuzi wa kutunga mitandaoni.
Hili ni tukio baya la kuterrorise maisha ya watu kama lingekuwa motivated na chama cha siasa asingekwenda mtuhumiwa mmoja pekee. Tungeona makundi ya wafuasi wa vyama vya siasa.
Tuache majungu ya kisiasa yasiyokuwa na tija kwa taifa letu.