Kulihusisha tukio la mauaji Kinondoni na vyama vya siasa ni kukosa busara za kisiasa

Huku sio kuchafuana au kupakana matope bali ni kukosa busara za kisiasa. Maana huwezi kusema kuwa ni Chadema yetu au Ccm yao itachafuka kwa upuuzi wa kutunga mitandaoni.

Hili ni tukio baya la kuterrorise maisha ya watu kama lingekuwa motivated na chama cha siasa asingekwenda mtuhumiwa mmoja pekee. Tungeona makundi ya wafuasi wa vyama vya siasa.

Tuache majungu ya kisiasa yasiyokuwa na tija kwa taifa letu.
CCM ni Chama Cha Magaidi, sasa ni dhahiri shairi! Hamza kathibitisha
 
Kada la Lumumba likiwa kazini kutetea chama chake! Nina uhakika, kama huyu Hamza angekuwa CDM basi ungeshiriki hapa kuinanga CDM na hata kumuhusisha Hamza na Mbowe!
Kuna moja jana nilimsoma mahali anadai Hamza alikua akipiga kelele 'Mbowe sio faidi mimi ndiye gaidi"
 
Huku sio kuchafuana au kupakana matope bali ni kukosa busara za kisiasa. Maana huwezi kusema kuwa ni Chadema yetu au Ccm yao itachafuka kwa upuuzi wa kutunga mitandaoni.

Hili ni tukio baya la kuterrorise maisha ya watu kama lingekuwa motivated na chama cha siasa asingekwenda mtuhumiwa mmoja pekee. Tungeona makundi ya wafuasi wa vyama vya siasa.

Tuache majungu ya kisiasa yasiyokuwa na tija kwa taifa letu.
Ila ni busara kumsingizia Mbowe kuwa gaidi?
 
Kuna moja jana nilimsoma mahali anadai Hamza alikua akipiga kelele 'Mbowe sio faidi mimi ndiye gaidi"
Siamini hilo!Huyu kwanza inaonekana ana motives zake nje ya siasa!Ingekuwa mambo ya siasa basi angewala vichwa hadi raia!
 
Huku sio kuchafuana au kupakana matope bali ni kukosa busara za kisiasa. Maana huwezi kusema kuwa ni Chadema yetu au Ccm yao itachafuka kwa upuuzi wa kutunga mitandaoni.

Hili ni tukio baya la kuterrorise maisha ya watu kama lingekuwa motivated na chama cha siasa asingekwenda mtuhumiwa mmoja pekee. Tungeona makundi ya wafuasi wa vyama vya siasa.

Tuache majungu ya kisiasa yasiyokuwa na tija kwa taifa letu.
Wewe/nyie mkiacha majungu ya kisiasa na wale/wao wataacha.Sasa tuambie ushiriki wako uko wapi,kwenye kubambikia au kwenye kubambikiwa?
 
Huku sio kuchafuana au kupakana matope bali ni kukosa busara za kisiasa. Maana huwezi kusema kuwa ni Chadema yetu au Ccm yao itachafuka kwa upuuzi wa kutunga mitandaoni.

Hili ni tukio baya la kuterrorise maisha ya watu kama lingekuwa motivated na chama cha siasa asingekwenda mtuhumiwa mmoja pekee. Tungeona makundi ya wafuasi wa vyama vya siasa.

Tuache majungu ya kisiasa yasiyokuwa na tija kwa taifa letu.
Mbona nyie CCM mnachafua Mbowe?
 
Huku sio kuchafuana au kupakana matope bali ni kukosa busara za kisiasa. Maana huwezi kusema kuwa ni Chadema yetu au Ccm yao itachafuka kwa upuuzi wa kutunga mitandaoni.

Hili ni tukio baya la kuterrorise maisha ya watu kama lingekuwa motivated na chama cha siasa asingekwenda mtuhumiwa mmoja pekee. Tungeona makundi ya wafuasi wa vyama vya siasa.

Tuache majungu ya kisiasa yasiyokuwa na tija kwa taifa letu.
Sawa Kabisa unayosema.
 
Back
Top Bottom