Jasusi Uchwara
Member
- Aug 12, 2021
- 64
- 117
Kimsingi kuna kitu hakifahamiki vizuri kwa wananchi, vyombo vya usalama nacho ni neno UGAIDI na kama wanakifahamu vizuri basi wanapotosha purposely.
Neno ugaidi lina maana ya Tishio, au kitendo kinacholenga kutisha watu kwa malengo ya kisiasa, kijamii, na kiusalama, hii ndio maana halisi inayofahamika katika vyombo vikubwa vya kiusalama hivyo ile definition ya kwenye somo la General studies haina mashiko ni brainwshing.
Hivyo basi tukio lolote lile ili lihesabiwe kuwa ni ugaidi lazima liguse angle kama tatu.
Moja:Siasa, ugaidi wa kisiaa hulenga kuinfluence malengo ya kundi fulani dhidi ya mamlaka inayotawala ili kubargain state authorities ili kupata sehemu au hadhi fulani katika serikali., Hivyo tukisema kuwa tukio.la salender ni UGAIDI tujiulize kuwa je jamaa huyo alikuwa na lengo la.kuitisha serikali ili apate naye mamlaka au ushawishi au apewe heshima na nafasi ya kisaisa katika serikali?
Bila shaka HAPANA, hivyo kisiasa tukio la jana siyo kigaidi.
Pili:Angle ya tatu ni Jamii, ili tukio liwe ni ugaidi ni lazima liwe na mlengo wa kuitisha hadhira/majorities ya watu ili kundi hilo au mtu huyo apate nguvu au aeneze nguvu zake kwa jamii hiyo ili kuitetelesha dola mfano kuua raia, kulipua masoko, minada, kujitolea muhanga katika vyombo vya usafiri., hivyo tukisema kuwa tukio la jana ni ugaidi tujiulize je aliilenga jamii ya watanzania?
Bila shaka No kwa sababu hakushambulia raia licha ya kuwa raia walikuwepo wengi na uwezo wa kufanya lolotebalikuwa nao., hivyo kwa kigezo hiki pia tukio la jana sio ugaidi.
Tatu, Ili tukio liwe la kigaidi ni lazima liguse angle ya Usalama(Security) kwa maana ya kudistabilize usalama wa nchi ili kuleta vurugu, uasi, na jaribio la mapinduzi , hali hii haijatokea salender , hivyo pia mimi sioni dalili ya ugaidi hapo.
Nne, Angle nyingine ni uchumi, ili tukio liwe la kigaidi halina budi kugusa eneo la uchumi wa nchi yoyote, washambuliaji/magaidi ni lazima wawe na lengo la kudistabilize uchumi wa eneo fulani ktk nchi, bara au dunia mfano kufanya piracying yaani uharamia wa majini mfano kuteka meli za mafuta ili kupewa fidia fulani, kuteka migodi mikubwa na maeneo nyeti ya kibiashara na uchumi, hivyo basi tukio la salender halina sifa ya ugaidi ktk mtizamo wa kiuchumi.
Je, nini kilichotokea salander?
Kilichofanyika ni uhalifu (Social crime) hivyo si kila crime ni ugaidi mfano wizi, ubakaji, mauaji ni uhalifu lakini hautaitwa ugaidi until angle nne hizo ziwe zimeguswa vuzuri, mfano nchini marekani tumekuwa tukishuhudia mauaji ya watu kuua kwa kutumia silaha lakini CIA,FBI na serikali hawajawahi kuiambia dunia kuwa ni ugaidi.
Kilichofanyika salender ni uhalifu ambao unabidi kujadiliwa kwa jicho la kiuhalifu siyo kigaidi ili kuepusha TAHARUKI, chuki na uhasama wa kijamii.
Matukio kama lile la jana salender mara nyingi husababishwa na migogoro binafsi waliyo nayo wahusika (personal conflicts), umasiki, psychological problems au pia relationship querrels yaani migigoro ya kimahusiano baina watu wake wa karibu, jamii inayomzunguka.
Katika tukio la jana kulikuwa na mengi ya kujifunza na kuyafahamu lakini Historia ilichelewa kuandika kwa sababu ya uharaka wa mauti kwa kwa mtekelezaji wa tukio kama angalikuwa hai tungepata mengi, lakini pia vifo vya askari navyo vimetunyima mengi ya kujua.
Hivyo tufanye nini?
Tuwatafute watu waliokuwepo/walioshuhudia kwa macho(vusual evidences) tuwahoji wao waliona nini kabla ya risasi hazijaanza kurushwa je mahusiano ya mtekelezaji na police waliokuwepo maeneo yale ni yapi?
Tukibaini hapo tutakuwa tumetegeua kitendawili.
Tanzania ipo salama msiwe na shaka.
Neno ugaidi lina maana ya Tishio, au kitendo kinacholenga kutisha watu kwa malengo ya kisiasa, kijamii, na kiusalama, hii ndio maana halisi inayofahamika katika vyombo vikubwa vya kiusalama hivyo ile definition ya kwenye somo la General studies haina mashiko ni brainwshing.
Hivyo basi tukio lolote lile ili lihesabiwe kuwa ni ugaidi lazima liguse angle kama tatu.
Moja:Siasa, ugaidi wa kisiaa hulenga kuinfluence malengo ya kundi fulani dhidi ya mamlaka inayotawala ili kubargain state authorities ili kupata sehemu au hadhi fulani katika serikali., Hivyo tukisema kuwa tukio.la salender ni UGAIDI tujiulize kuwa je jamaa huyo alikuwa na lengo la.kuitisha serikali ili apate naye mamlaka au ushawishi au apewe heshima na nafasi ya kisaisa katika serikali?
Bila shaka HAPANA, hivyo kisiasa tukio la jana siyo kigaidi.
Pili:Angle ya tatu ni Jamii, ili tukio liwe ni ugaidi ni lazima liwe na mlengo wa kuitisha hadhira/majorities ya watu ili kundi hilo au mtu huyo apate nguvu au aeneze nguvu zake kwa jamii hiyo ili kuitetelesha dola mfano kuua raia, kulipua masoko, minada, kujitolea muhanga katika vyombo vya usafiri., hivyo tukisema kuwa tukio la jana ni ugaidi tujiulize je aliilenga jamii ya watanzania?
Bila shaka No kwa sababu hakushambulia raia licha ya kuwa raia walikuwepo wengi na uwezo wa kufanya lolotebalikuwa nao., hivyo kwa kigezo hiki pia tukio la jana sio ugaidi.
Tatu, Ili tukio liwe la kigaidi ni lazima liguse angle ya Usalama(Security) kwa maana ya kudistabilize usalama wa nchi ili kuleta vurugu, uasi, na jaribio la mapinduzi , hali hii haijatokea salender , hivyo pia mimi sioni dalili ya ugaidi hapo.
Nne, Angle nyingine ni uchumi, ili tukio liwe la kigaidi halina budi kugusa eneo la uchumi wa nchi yoyote, washambuliaji/magaidi ni lazima wawe na lengo la kudistabilize uchumi wa eneo fulani ktk nchi, bara au dunia mfano kufanya piracying yaani uharamia wa majini mfano kuteka meli za mafuta ili kupewa fidia fulani, kuteka migodi mikubwa na maeneo nyeti ya kibiashara na uchumi, hivyo basi tukio la salender halina sifa ya ugaidi ktk mtizamo wa kiuchumi.
Je, nini kilichotokea salander?
Kilichofanyika ni uhalifu (Social crime) hivyo si kila crime ni ugaidi mfano wizi, ubakaji, mauaji ni uhalifu lakini hautaitwa ugaidi until angle nne hizo ziwe zimeguswa vuzuri, mfano nchini marekani tumekuwa tukishuhudia mauaji ya watu kuua kwa kutumia silaha lakini CIA,FBI na serikali hawajawahi kuiambia dunia kuwa ni ugaidi.
Kilichofanyika salender ni uhalifu ambao unabidi kujadiliwa kwa jicho la kiuhalifu siyo kigaidi ili kuepusha TAHARUKI, chuki na uhasama wa kijamii.
Matukio kama lile la jana salender mara nyingi husababishwa na migogoro binafsi waliyo nayo wahusika (personal conflicts), umasiki, psychological problems au pia relationship querrels yaani migigoro ya kimahusiano baina watu wake wa karibu, jamii inayomzunguka.
Katika tukio la jana kulikuwa na mengi ya kujifunza na kuyafahamu lakini Historia ilichelewa kuandika kwa sababu ya uharaka wa mauti kwa kwa mtekelezaji wa tukio kama angalikuwa hai tungepata mengi, lakini pia vifo vya askari navyo vimetunyima mengi ya kujua.
Hivyo tufanye nini?
Tuwatafute watu waliokuwepo/walioshuhudia kwa macho(vusual evidences) tuwahoji wao waliona nini kabla ya risasi hazijaanza kurushwa je mahusiano ya mtekelezaji na police waliokuwepo maeneo yale ni yapi?
Tukibaini hapo tutakuwa tumetegeua kitendawili.
Tanzania ipo salama msiwe na shaka.