SAGAI GALGANO
JF-Expert Member
- Nov 13, 2009
- 43,707
- 60,760
Kifupi lile tukio ni ugomvi wa kifamilia kada wa CCM akiwatwanga risasi makada wenzake waliovaa uniform.
Full stop.Hamza ni uvccm
Thibisha kamandaFull stop.
Mataga pori leo unahara damu baada ya kada mwenzako wa UVCCM kufanya ugaidi live bila chenga.Thibisha kamanda
Tuwe wakweli tu kwa siasa zetu hizi, hivi ingekuwaje kama huyo jamaa angekuwa ni mwana chama wa CHADEMA?, yaani hayo mpicha picha yake, yangekuwa yanamuonyesha kuwa amevaa sare za CDM?!!hapo tayari ungewasikia viongozi wote wamesha pata justification, ya hayo madai yao juu ya chama hicho, sasa angalia jinsi Mungu alivyofundi?!!!hayo yote ni matokeo ya siasa za maji taka za nchi hii!!!Huku sio kuchafuana au kupakana matope bali ni kukosa busara za kisiasa. Maana huwezi kusema kuwa ni Chadema yetu au Ccm yao itachafuka kwa upuuzi wa kutunga mitandaoni.
Hili ni tukio baya la kuterrorise maisha ya watu kama lingekuwa motivated na chama cha siasa asingekwenda mtuhumiwa mmoja pekee. Tungeona makundi ya wafuasi wa vyama vya siasa.
Tuache majungu ya kisiasa yasiyokuwa na tija kwa taifa letu.
Wewe ndio uliyehusisha maana hakuna aliyefanya hivyo zaidi yakoHuku sio kuchafuana au kupakana matope bali ni kukosa busara za kisiasa. Maana huwezi kusema kuwa ni Chadema yetu au Ccm yao itachafuka kwa upuuzi wa kutunga mitandaoni.
Hili ni tukio baya la kuterrorise maisha ya watu kama lingekuwa motivated na chama cha siasa asingekwenda mtuhumiwa mmoja pekee. Tungeona makundi ya wafuasi wa vyama vya siasa.
Tuache majungu ya kisiasa yasiyokuwa na tija kwa taifa letu.
daaaa tukio la jana hakika halikuwa zuri kwa sura ya kimataifa kwani limetokea kwenye geti la ubalozi wa Ufaransa..ni kama kuna jambo fulani haliko sawa, wajuzi wa intilijensia walifuatilie haraka nchi ipate majibu, chanzo chake,sababu zake, na hitimisho.
pengine ni mwendelezo au mfano wa majeshi ya USA kutoka Afghanistan!!!Kutambua kuwa limepelekwa jirani na ulipokuwepo ubalozi wa USA ulioshambuliwa na magaidi kipindi kile na mwezi 8 nayo ni ngumu hii?!
Huku sio kuchafuana au kupakana matope bali ni kukosa busara za kisiasa. Maana huwezi kusema kuwa ni Chadema yetu au Ccm yao itachafuka kwa upuuzi wa kutunga mitandaoni.
Hili ni tukio baya la kuterrorise maisha ya watu kama lingekuwa motivated na chama cha siasa asingekwenda mtuhumiwa mmoja pekee. Tungeona makundi ya wafuasi wa vyama vya siasa.
Tuache majungu ya kisiasa yasiyokuwa na tija kwa taifa letu.
Kwa kuwa imewagusa ccm ndio maana mnasema lisihusishwe na vyama vya siasa. Mmesahau kuwa nyie ndio mlianza kwa polisi wenu kuja na picha za bunduki zilizofungwa na bendera ya chadema, visu vyenye rangi ya CUF?
Kwani kuna chama kinachohusishwa na hilo tukio?Huku sio kuchafuana au kupakana matope bali ni kukosa busara za kisiasa. Maana huwezi kusema kuwa ni Chadema yetu au Ccm yao itachafuka kwa upuuzi wa kutunga mitandaoni.
Hili ni tukio baya la kuterrorise maisha ya watu kama lingekuwa motivated na chama cha siasa asingekwenda mtuhumiwa mmoja pekee. Tungeona makundi ya wafuasi wa vyama vya siasa.
Tuache majungu ya kisiasa yasiyokuwa na tija kwa taifa letu.
Huku sio kuchafuana au kupakana matope bali ni kukosa busara za kisiasa. Maana huwezi kusema kuwa ni Chadema yetu au Ccm yao itachafuka kwa upuuzi wa kutunga mitandaoni.
Hili ni tukio baya la kuterrorise maisha ya watu kama lingekuwa motivated na chama cha siasa asingekwenda mtuhumiwa mmoja pekee. Tungeona makundi ya wafuasi wa vyama vya siasa.
Tuache majungu ya kisiasa yasiyokuwa na tija kwa taifa letu.
pengine ni mwendelezo au mfano wa majeshi ya USA kutoka Afghanistan!!!
Go and take a rest, Boy. You need some sleep.What is your point here?
Hii taarifa inavuruga hali ya hewa! Tunahitaji haraka utulizaji!
Huenda alikuwa anafunga njia wanayopita viongozi.Huku sio kuchafuana au kupakana matope bali ni kukosa busara za kisiasa. Maana huwezi kusema kuwa ni Chadema yetu au Ccm yao itachafuka kwa upuuzi wa kutunga mitandaoni.
Hili ni tukio baya la kuterrorise maisha ya watu kama lingekuwa motivated na chama cha siasa asingekwenda mtuhumiwa mmoja pekee. Tungeona makundi ya wafuasi wa vyama vya siasa.
Tuache majungu ya kisiasa yasiyokuwa na tija kwa taifa letu.
Hujitambui kijana huyu muuaji ni mwana Ccm? Kuwa wapinzani sio sababu ya kuweke chuki kwa Ccm.Baada ya kuona huyo muhuni ni ccm ndio mnajifanya lisihusishwe ns siasa? Mnaleta siasa chafu za kuchafua watu ili kupaka vyama vyao matope, lakini ikitokea tukio la kweli la mwanachama wenu, mnataka lisihusishwe ns siasa!
Bwana Hamza Msomali ni mwana CCM mwenzako, usijifaragueHuku sio kuchafuana au kupakana matope bali ni kukosa busara za kisiasa. Maana huwezi kusema kuwa ni Chadema yetu au Ccm yao itachafuka kwa upuuzi wa kutunga mitandaoni.
Hili ni tukio baya la kuterrorise maisha ya watu kama lingekuwa motivated na chama cha siasa asingekwenda mtuhumiwa mmoja pekee. Tungeona makundi ya wafuasi wa vyama vya siasa.
Tuache majungu ya kisiasa yasiyokuwa na tija kwa taifa letu.
Magaidi wa kweli wanatoka ccm na sio CDM.Huku sio kuchafuana au kupakana matope bali ni kukosa busara za kisiasa. Maana huwezi kusema kuwa ni Chadema yetu au Ccm yao itachafuka kwa upuuzi wa kutunga mitandaoni.
Hili ni tukio baya la kuterrorise maisha ya watu kama lingekuwa motivated na chama cha siasa asingekwenda mtuhumiwa mmoja pekee. Tungeona makundi ya wafuasi wa vyama vya siasa.
Tuache majungu ya kisiasa yasiyokuwa na tija kwa taifa letu.