HizMAJESTY
Senior Member
- Aug 6, 2019
- 130
- 523
Kuna wakati kumuacha kuna manufaa iwapo kila uchao nguvu ya uvumilivu inakupungua, maana waweza react ukampa konde lenye madhara, gereza likakuhusu.Hivi kumbe wanawake wengi wapo hivi me nilidhani niwangu2 ndio anatabia zakuniletea mdomomdomo. Bahati yake kumbe wengi wao wapo hivi nilikuwa nafikiria kumuacha
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app