Kula tunda kimasihara kunavyoigarimu ndoa yangu

Kula tunda kimasihara kunavyoigarimu ndoa yangu

Kaa chini tumia busara zungumza na mkeo,mueleze kwanini mtoto asikae hapo kwasasa ,mpe nafasi pia ya kujieleza ili muyajenge. Kama anawaza kuhusu mdogo wake ni vema muafikiane namna ya kumsaidia kwa hiki kipindi cha malezi ili asikae mbali na mtoto Kama mnauwezo wa kumsaidia.
Kuendelea kujadili baba wa kachanga na wengine wa kuwatupia mzigo wakati hamjayajenga we na mkeo ni kujichosha akili.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna kosa umelifanya,lakini kwa muda huu hutakiwi kulijua kwa sababu mkeo tayari yuko kwao na hutakiwi kujishusha kwa sasa;sijajua uchumi wako uko vipi? Chukua maamuzi haya: kama una watoto...peleka bweni na imarisha uchumi wako inavyowezekana huku ukijiangalia wewe na watoto wako tu.Ukishajiimarisha heshima ya mwanaume lazima irudi...hata walioondoka/kukukosea watakuja huku wakiomba msamaha.
 
Ita hao mashemeji, mama mkwe, baba mkwe na mke wako wote piga kibano mixer makofi halafu wafungie ndani wataipata fresh wasikuletee dharau kabisa


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Mkuu wewe ndio baba wa familia yako, usikubali kupelekeshwa na upande wa ukweni. Kama ulioa ndoa ya halali na ulilipa mahari simamia msimamo wako. Haya mambo ya extended family ndio yanaleta mtafaruku kwenye ndoa nyingi. Mkeo hapaswi kabisa kujilinganisha yeye na wewe. Eti sababu ulifanya kosa naye alipizie. Huo ni ujuha. Hatukatai kusaidiana lakini tunaangalia kile tunachomudu. Usilegeze kamba shikilia hapo hapo. Kwa nini huyo mtoto asiachwe kwa bibi yake (mamake mkeo au ndugu yake mwingine).

Sent using Jamii Forums mobile app
Good. Kabisa mkuu. Acha iwe hali mbaya ukweeni. Wewe usibadirishe msimamo. Ikiwezekana kifuatacho,talaka

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yaani nasema siwezi katu na siwezi, kama nimemkuta sina shida naye lakini kauzururisha huko eti nilee mie ? Kama una uzinzi wakijinga mie si wakusogelea kabisa

Sent using Jamii Forums mobile app
Heheee kuna mdada niliwahi date nae akawa na kamtazamo ka namna hii, bahati nzuri tukaachana akaenda olewa huko na jamaa keshamletea watoto wa3 na hajaondoka wala kudai talaka.

Kabaki kunilalamikia mimi tu utadhani mi ndo namtafutia bwana ake mademu wa kutia mimba hahahaa.

Sent using mazonge yamezidi
 
Bf Tulinagwe,
1. ili ule lazima na wewe uliwe
2. salama ya wanao iko kwa ndugu za mkeo
3. usilipe ubaya kwa wema
mchukue mtoto wa shemeji yako umlee- ni akiba yako na ya wanao akiwemo huyo wa mchepuko.
 
Heheee kuna mdada niliwahi date nae akawa na kamtazamo ka namna hii, bahati nzuri tukaachana akaenda olewa huko na jamaa keshamletea watoto wa3 na hajaondoka wala kudai talaka.

Kabaki kunilalamikia mimi tu utadhani mi ndo namtafutia bwana ake mademu wa kutia mimba hahahaa.

Sent using mazonge yamezidi
Ni huyo tumetofautiana na mazingira mliotafutiana ,kama alikuwa nao sawa lakini kama wananikuta siwezi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom